Nape awasambaratisha Chadema Mafinga-Iringa

Jimy P

Senior Member
Dec 7, 2011
125
23
Nape Nnauye kasambaratisha ngome ya Chadema Mafinga Mjini na Wanachama wa Chadema wamesema wamechonga kuwepo kwenye Chama cha Kikabila na kinachoendeshwa na watu kadhaa utadhani chama ni chao na Familia yao, Hawajawahi hata kusema Mamilioni ya Rukuku wanatumiaje zaidi ya kuweka mifukoni mwao hakuna Kiongozi yeyote wa Mkoa au Wilaya anayenufaika na Mamilioni ya Ruzuku wanayopata kutoka kwenye serikali, Na wakauliza Je wakikabithiwa nchi itakuwaje,,

Na Nape kawaeleza adhari ya nchi kukabithiwa kwa wanaharakati Duniani haijawah kutokea nchi ikakabithiwa kwa Wanaharakat huwa haitawaliki na CCM HAWAPO TAYARI KUKABITH NCHI KWA WANAHARAKATI, Nchi huwa inkabithiwa kwa chama cha Siasa...

Tanzania Chama cha Siasa ni CCM Tu coz Viongozi wa vyama vyote ni Oil Chafu iliyomwagwa na Magari ya CCM.
 
Unaposema uongo wakati habari yenyewe imeonyeshwa na TV ya CCM TBC1 unajionyesha ulivyopungukiwa hii ni great thinkers forum sio ya propaganda uwe mwangalifu aibu kuwa mwongo mtu mzima
 
Nape Nnauye kasambaratisha ngome ya Chadema Mafinga Mjini na Wanachama wa Chadema wamesema wamechonga kuwepo kwenye Chama cha Kikabila na kinachoendeshwa na watu kadhaa utadhani chama ni chao na Familia yao, Hawajawahi hata kusema Mamilioni ya Rukuku wanatumiaje zaidi ya kuweka mifukoni mwao hakuna Kiongozi yeyote wa Mkoa au Wilaya anayenufaika na Mamilioni ya Ruzuku wanayopata kutoka kwenye serikali, Na wakauliza Je wakikabithiwa nchi itakuwaje,,

Na Nape kawaeleza adhari ya nchi kukabithiwa kwa wanaharakati Duniani haijawah kutokea nchi ikakabithiwa kwa Wanaharakat huwa haitawaliki na CCM HAWAPO TAYARI KUKABITH NCHI KWA WANAHARAKATI, Nchi huwa inkabithiwa kwa chama cha Siasa...

Tanzania Chama cha Siasa ni CCM Tu coz Viongozi wa vyama vyote ni Oil Chafu iliyomwagwa na Magari ya CCM.

Mtu mjinga utamjua kwa uchafu atakaoandika
 
Nimeangalia TBC watu wachache utadhani mkutano wa kijiji alafu hata hiyo ya kurudisha kadi hata haijaonyeshwa, kwa maana haikuwepo, TBC wasingeacha.
 
Kweli mtu mjinga utamjua tu! Huyu jamaa ni moja ya mbumbumbu walioandaliwa na CCM, ila tu hajijui kuwa ni mbumbumbu angalia tu hiyo report aliyoandika
 
Nape Nnauye kasambaratisha ngome ya Chadema Mafinga Mjini na Wanachama wa Chadema wamesema wamechonga kuwepo kwenye Chama cha Kikabila na kinachoendeshwa na watu kadhaa utadhani chama ni chao na Familia yao, Hawajawahi hata kusema Mamilioni ya Rukuku wanatumiaje zaidi ya kuweka mifukoni mwao hakuna Kiongozi yeyote wa Mkoa au Wilaya anayenufaika na Mamilioni ya Ruzuku wanayopata kutoka kwenye serikali, Na wakauliza Je wakikabithiwa nchi itakuwaje,,

Na Nape kawaeleza adhari ya nchi kukabithiwa kwa wanaharakati Duniani haijawah kutokea nchi ikakabithiwa kwa Wanaharakat huwa haitawaliki na CCM HAWAPO TAYARI KUKABITH NCHI KWA WANAHARAKATI, Nchi huwa inkabithiwa kwa chama cha Siasa...

Tanzania Chama cha Siasa ni CCM Tu coz Viongozi wa vyama vyote ni Oil Chafu iliyomwagwa na Magari ya CCM.

Kama CCM hawako tayari kukabidhi madaaraka kwa wana harakati WAKATI WANANCHI WAMEAMUA; CCM watfanyaje kukataa? Toa jibu
 
Ndo tatizo la kufikiria kwa kutumia uwazi ulio katikati ya masaburi badala ya kutumia akili
 
Nape Nnauye kasambaratisha ngome ya Chadema Mafinga Mjini na Wanachama wa Chadema wamesema wamechonga kuwepo kwenye Chama cha Kikabila na kinachoendeshwa na watu kadhaa utadhani chama ni chao na Familia yao, Hawajawahi hata kusema Mamilioni ya Rukuku wanatumiaje zaidi ya kuweka mifukoni mwao hakuna Kiongozi yeyote wa Mkoa au Wilaya anayenufaika na Mamilioni ya Ruzuku wanayopata kutoka kwenye serikali, Na wakauliza Je wakikabithiwa nchi itakuwaje,,

Na Nape kawaeleza adhari ya nchi kukabithiwa kwa wanaharakati Duniani haijawah kutokea nchi ikakabithiwa kwa Wanaharakat huwa haitawaliki na CCM HAWAPO TAYARI KUKABITH NCHI KWA WANAHARAKATI, Nchi huwa inkabithiwa kwa chama cha Siasa...

Tanzania Chama cha Siasa ni CCM Tu coz Viongozi wa vyama vyote ni Oil Chafu iliyomwagwa na Magari ya CCM.


Mi' sijamuelewa! Hivi,hiki nacho ni KISWAHILI?
 
Nape kiboko ya magwanda ya khaki. Anafanya kweli.

Nimeona kwenye Tbc1!!duh yaani mpaka aibu!hivi kulikuwa hata na haja ya kutumia kipaza sauti?manake UMATI wenyewe haukuzidi watu 60!,wengi wao ni wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa ccm mitaani,loh!kweli leo ndiyo nimeamini kuwa CCM kwisha kabisa!.
 
Nape kiboko ya magwanda ya khaki. Anafanya kweli.

Kumbe wajinga nch hii bado hamjaishaeeee?mwanbieni nepi kwa Iringa kachemka,hapo wakisema basi maana yake basi,ni zaidi ya mwanza na mbeya.watamchekea nepi mwishowe pumpers.
 
Kumbe wajinga nch hii bado hamjaishaeeee?mwanbieni nepi kwa Iringa kachemka,hapo wakisema basi maana yake basi,ni zaidi ya mwanza na mbeya.watamchekea nepi mwishowe pumpers.

Nape kiboko yenu, kijana mdogo anawahenyesha ile mbaya.

Nasikia Mbeya kimenuka!
 
We kweli ni mtoto wa shule ya msingi mbona sio habari bali ni tuhuma?

Unatwambia habari kishabiki mpaka unata kuanguka upate mtikisko wa ubongo.
Tafadhali hacha propaganda jaribu kuripoti habari kama mtu mwenye elimu japo kidogo.

Hii habari ulitakiwa huandike nimetumwa na nyinyiemu niseme
 
Nape kiboko ya magwanda ya khaki. Anafanya kweli.

Kumbe wajinga nch hii bado hamjaishaeeee?mwanbieni nepi kwa Iringa kachemka,hapo wakisema basi maana yake basi,ni zaidi ya mwanza na mbeya.watamchekea nepi mwishowe pumpers.
 
Back
Top Bottom