GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
[h=6]Wakati "wao" wakitembeza kapu kuombaomba.,sisi tunatazama fursa tulizonazo na kuzitumia..,Daima tunaonyesha njia.[/h]TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.
Chama Cha Mapinduzi kinatarajia kupokea Ujumbe wa Wafanyabiashara Maarufu kutoka Chama rafiki cha ANC (African National Congress) cha Afrika ya Kusini. Ujumbe huo utawasili nchini tarehe 25/03/2012 na kurejea Afrika Kusini tarehe 29/03/2012....
By: Nape Moses Nnauye (Face Book)
Chama Cha Mapinduzi kinatarajia kupokea Ujumbe wa Wafanyabiashara Maarufu kutoka Chama rafiki cha ANC (African National Congress) cha Afrika ya Kusini. Ujumbe huo utawasili nchini tarehe 25/03/2012 na kurejea Afrika Kusini tarehe 29/03/2012....
By: Nape Moses Nnauye (Face Book)