Kwa taarifa yako hata hawa hawadanganyiki. Nafikir kawapata wengi kiasi hiki kwa kuwa kulikuwa na ngoma na maturumbeta, lakini ukisema 'Peopleeeeeeeeeeeez!! Utausikia mwangwi wake.
hao watoto aliopiga nao picha wote ni cdm kwa hiyo haina haja ya kujiuliza na wala haumizi kichwa
cha wana cdm muwe mnaandika vitu vyenye maana humu
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.
Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.
Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
napeee hao ndio wana ccm au kweli jamii zetu bado maskini sana.duNi kweli kabisa maneno yako......
ni kweli kabisa maneno yako......
huyu alikuwa kimada wake sasa wamejadili haya masuala jana usiku ndio akaja msifia huku ONA HILO CHEKO LA BASHAduh! Hivi kumbe nchi hii bado ina wendawazimu kama huyu? Sasa ninaamini kuwa kumbe hata mungu ashuke vichaa kama hawa hawataisha dunia hii!
HAKIKA KILA MTU NA LEVER ZAKE NA HUYU HII NDIE LEVER YAKENi kweli kabisa maneno yako......
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.
Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.
Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
Well s
aid...cdm kila kukicha wamekuwa wakitamani nape ahamie kwao...hizi zimekuwa ni ndoto zao za mchana za kila siku.....