Nape awapasua vichwa CHADEMA

This is like childish!
Hivi Nape si yuko hatua za mwisho kabisa za kuimega ccm mapande kama ma4?
Anahusika vp na cdm tena?...kuna kiongozi wa cdm anayehangaika na nape?
 
Labda hawapasui kichwa CDM kwa kuwa yeye ndiyo anayecheza ngoma ya CDM. Kila kitu anacopy toka CDM na kukifanyia implemention. Ona operetion ya Vua Gamba, Vua Gwandwa na Vaa Uzalendo ni copy toka M4C
Operation hiyo ya nape ni maneno tupu haipo. Jamaa kazoea tu kubwabwaja.
 
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.

Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.

Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!

Labda unapasua chako zaidi maumivu huanza polepole.....
 
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.

Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.

Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
Anawapasua magamba wenzake,maana akili yake haina tofauti na matahaira{mandondocha}ya kihindi,ambayo yanapewa kila kitu lakini hayajielewi lolote,yapo kwa ajili ya kutajirisha wengine yakitembea yanakuwa mazuzuzuzu
 
nape si lolote si chochote haiumizi kichwa chadema na kamwe hatoiumiza... Kama amewatuma mumwambie kashindwa... Na yeye ndo anumiaa kichwa na si punde atapasuka kichwa a kwani anacheza na moto
 
hayo ni maigizo.Ni kama kwa ilivyokuwa diamond ccm kutuletea watoto. ndivyo ilivyo kwa Nape kubebwa kwa dhamira ya wananchi. it will never happen till the end the word
 
wakati mwngine ni vizuri mtu kabla ya kukurupa kumlaumu mtu soma vizuri TAFAKARI ALICHSEMA MWENZAKO,inakuwa aibu ukikundua umemkosea!

ALIYELETA HOJA HII ANAONEKANA KUWA NA UCHUNGU WA KWELI NA CDM na hata picha hiyo hapo ona ni ya watoto tu tena chini ya miaka 18 hivyo hawatakisaidia chochote ccm! hongera SIKONGE

Mkira, asante kwa kuliona hilo,maana akili ya kawaida tu ingemfanya aelewe nini Sikonge alikuwa anamaanisha,nina uhakika akirudia tena kuiangalia hiyo picha na ujumbe wake ataweza kuconnect dots.
 
@RC, nafikiri Nyamizi kakujibu vizuri. Mie ndiye SIKONGE bana, ukinivamia kichwa kichwa, utashangaa kuwa unashambulia timu yako (friend's fire). Nisome vizuri na uangalie tena picha utaelewa. Kama huelewi basi jitoe JF maana si mahali pako.

Umeumbwa na UBONGO, utumie :(

Nyamizi, ntaku-PM baadaye. Nashukuru kwa kuliona hilo.

Ilibidi nicheke nilipomsoma RC, sio makosa yake pengine lugha ya picha ambayo umekuwa ukiitumia mara nyingi kuwakilisha ujumbe kwake inampa taabu kidogo.

Nimekupata mkuu, mengine tutaongea kupitia PM
 
Yani Nape ndo aumize kichwa CDM??! Haya ni mawazo ya delilah, kwan ss peoples hapa kwetu ni kazi tu mwendo mdundo na hatuna fear na mramba nyayo kama Nape koz anajulikana kuwa yy ni vuvuzela.
 
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.

Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.

Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
ww nae GAMBA?
 
teh,teh,teh hapa nape si anagawa pipi?na anaowahutubia umewaona?angalia hao watoto wadogo wanavyogombea pipi hadi wanataka wapigane halafu nape anacheka.Sikonge,umenifurahisha sana hujamkawiza huyu mleta mada dhaifu kumjibu kwa kutumia picha acha ahangaike nayo.
 
Ni kweli kabisa maneno yako......
ukweli upi huo mkuu. Maige,Kisumo, sijui kina nani nao ni CHADEMA think big mkuu

attachment.php
anaumiza magamba wenzake kichwa au CDM. Hivi Kisumo, Maige na wengine wanaokosoa siasa za Nepi nao Ni CDM! kaka wa wap wewe!
 
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.

Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.

Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!

Huyu Nape ni mbu mdogo sana kwa CDM. Sana sana nafikiri Maige na wale mafisadi Nape anaowapasua waziwazi ndo wanawatuma hapa kuja kupoteza mwelekeo. After all CDM inajipanga ki Macro zaidi kuliko ki Micro!!!!
 
Mwanamume wa Kweli hutambulika wakati kuna challenge.... Nape is good... kwa kuwa chama chake kiko katika wakati mgumu kama he is stable.... go Nape go.
 
Ni kweli kabisa maneno yako......

attachment.php

Hivi ni kweli au macho yangu?. Naona kama wote ni watoto wadogo waliohudhuria mkutano huu. Ndio zile mbinu za kuwaamuru waalimu wawarudishe watoto majumbani alafu wahudhurie mkutano wa ccm na wanafunzi wao. Haina mvuto wowote!!
 
Back
Top Bottom