Operation hiyo ya nape ni maneno tupu haipo. Jamaa kazoea tu kubwabwaja.Labda hawapasui kichwa CDM kwa kuwa yeye ndiyo anayecheza ngoma ya CDM. Kila kitu anacopy toka CDM na kukifanyia implemention. Ona operetion ya Vua Gamba, Vua Gwandwa na Vaa Uzalendo ni copy toka M4C
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.
Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.
Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
Anawapasua magamba wenzake,maana akili yake haina tofauti na matahaira{mandondocha}ya kihindi,ambayo yanapewa kila kitu lakini hayajielewi lolote,yapo kwa ajili ya kutajirisha wengine yakitembea yanakuwa mazuzuzuzuUkiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.
Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.
Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
wakati mwngine ni vizuri mtu kabla ya kukurupa kumlaumu mtu soma vizuri TAFAKARI ALICHSEMA MWENZAKO,inakuwa aibu ukikundua umemkosea!
ALIYELETA HOJA HII ANAONEKANA KUWA NA UCHUNGU WA KWELI NA CDM na hata picha hiyo hapo ona ni ya watoto tu tena chini ya miaka 18 hivyo hawatakisaidia chochote ccm! hongera SIKONGE
@RC, nafikiri Nyamizi kakujibu vizuri. Mie ndiye SIKONGE bana, ukinivamia kichwa kichwa, utashangaa kuwa unashambulia timu yako (friend's fire). Nisome vizuri na uangalie tena picha utaelewa. Kama huelewi basi jitoe JF maana si mahali pako.
Umeumbwa na UBONGO, utumie
Nyamizi, ntaku-PM baadaye. Nashukuru kwa kuliona hilo.
Thread kama hizi huwa sichangii
nape ni jembe ee
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.
Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.
Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
ww nae GAMBA?
anaumiza magamba wenzake kichwa au CDM. Hivi Kisumo, Maige na wengine wanaokosoa siasa za Nepi nao Ni CDM! kaka wa wap wewe!Ni kweli kabisa maneno yako......
ukweli upi huo mkuu. Maige,Kisumo, sijui kina nani nao ni CHADEMA think big mkuu
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.
Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.
Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
Ni kweli kabisa maneno yako......