Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
Nape kwa maneno yako aya una maana unapeleka muswada bungeni wa kuifuta ccm. Jk,pinda,ra,chenge,lowasa,mwakyembe,malecela,chiligati,na wote ambao sijaweza kuwaorodhesha ni wafanyabiashara. Kwa ufupi ni sawa na kuifuta ccm. Nape u r sowing the seed for your own destruction. Nalazimika kuamini kuwa maneno myasemayo ccm ni kama ya chizi wala hayasikilizwi. Mfano mzuri ni maneno ya bosi wako aliyesema kiwanja cha simba pale jangwani aliyeanza kujenga na kuzungusha mabati kuwa abomoe,mpaka leo anachekwa na pako vile vile. Sasa nape nawe ongeza vijineno vyako ili wafanya vioja wawe wengi.