DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Nape ivi vpi yule demu wa kinondoni sekretari wako uliyempa mimba na kuzaa mwaka juzi umemuoa?
yalaaa! Nimeamini like father like sonNape baba yake Mzee Nnauye alizikwa nyumbani kwa mzee Yusuph Makamba kwa sababu hakuwa hata na Nyumba ya maana ya kuzikwa...
KOMRAD NAPE LIVE NA WANAHABARI MUDA HUU CCM LUMUMBA K/KOO. AWAJIBU CHADEMA..
."..siku saba walizonipa nyingi sana,ushahidi upo kwa kila nachosema...waende mahakamani leo wasisubiri siku saba....wakati huo huo wamsaidie mzee Slaa kuja na ushahidi mahakamani wakusema CCM IMEINGIZA SILAHA,TUNATAKA AJE AOMBE RADHI kwa njia ile ile na tutadai fidia bilion 3, na tayari wanasheria wameshaanza hatua"
ASANTENI.
My take.siasa ya tanzania imeharibika,kila mtu ni mbabe,wanaoumia ni wananchi.
Mnampa kichwa sana kumjadili Nape humu, kichwa chake hakina akili yule dogo, yuko kama baba yake. Amesahau kuwa baba yake Mzee Nnauye alizikwa nyumbani kwa mzee Yusuph Makamba kwa sababu hakuwa hata na Nyumba ya maana ya kuzikwa. Nape Acha kuwa kama babako. Ushauri tu wa bure, ongeza busara kidogo we bw mdogo.
Huyo mpiga gitaa kachanganyikiwa badala kusisitiza sensa anaanzisha bifu la kitoto, hapo uenezi upo wapi??
I dontt have to convice of the TKO(Technical Knock Out) coming your way sucker!You have convinsed me to IGNORE you.
Vipi leo umekunywa Glass ngapi za gongo?Waliozoea kusema uongo sasa ni mwisho.
Wananchi tutajua nani ni nai katika kusema ukweli.
Its Nape Vs Dr Slaa/Mnyika
Pambano la raundi tisa.
Kulia kwangu GREEN Corner ni CCM,Kushoto kwangu BLUE/RED corner ni CDM
Ticker tape:
CCM uzoefu wa miaka 36
CDM uzoefu wa miaka 15
CCM wameshinda kwa KO miaka yaote
CDM wanaishia raundi ya pili katika uhai wao
Lets get ready to RUMBLEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!
Picha ya kihindi ndio imeanza patamu hapo kila mmoja anajifanya mwamba mtakutana mahakamani.