Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Siku ambayo tutaondokana na siasa za umbijani ndio tutapata kupona...we waache walumbane uamuzi wa kila mwananchi ni kura yake hapo 2015
Nakubaliana na wewe, bila shaka mpaka wakati huo kila mmoja atakuwa ameshaamua kura yake apeleke wapi, wakati wa tutumie wakati huu kuchuja kati ya mchele na pumba.