Nape atoa msimamo wa CCM dhidi ya posho za wabunge

Simwamini muongo hata kama atasema ukweli. Hapa nashindwa kuelewa kitu kimoja, je ni akinanani waliopendekeza posho kupanda na akinanani wanaopinga posho kupanda. Watu waliopotea njia ni rahisi kubishana ilihali kila mmoja hajui anaelekea wapi na ndio yanayotokea sasa tz. Tunaishi kwa kusomana minds ukibugi kidogo tu wenzio wanapiga bao
 
Jamani hebu tuwe wakweli angalau kidogo, hivi kuna maana gani serikali/ ccm nayo kukaa na kutoa kauli ya kulalamikia suala la posho, kama utakaa na kusifia Nape kutoa tamko kupinga posho kidogo huo ni wenda wazimu, kwani hiyo posho wana chukua wapi... au ina maana hizi posho ziko sehemu fulani kwa hiyo wana amua kuchukua ndogo au nyingi... kama kweli serikali ingekuwa na dhamira ya kweli inguchukua hatua... hizi kelele ni bala bal mi naona ni upuuzi mtupu unaendelea
 
huo uzalendo wa Nape ni upi?

Kwa watu wa calibre ya nape, hawakusatahili kuwa CCM! Never.

Kama hutaki kuamini hili kajinyonge.

Ndugu yangu Mlachake, si wote wanaokimbia CCM ni wasafi. Selasini ni mbunge wa CDM lakini anasema posho ziongezwe. Hata huko CCM kuna wazalendo ingawa ni wachache na Nape ni mmoja wao, na CDM na vyama vya upinzani vina mafisadi kina Selasini. Bado unataka nikajinyonge?
 
Huna haja ya kuwajibu hawa. Ni kawaida yao kupindisha kila unachozungumza!
We Rejao hapa nani kapindisha, halijapindishwa jambo ila heading ndiyo yenye utata ila nikukumbushe wataalamu wa kupindisha ni hawa wanaolala, kula na kuishi nyumba moja lakini kila mmoja na kauli yake:- Kashilila Posho hazijapanda, Spika posho zimepanda sasa msemaji wa ccm Nape anasikitika na kupinga.

Rejao pitia, chambua pata mchele weka kando, pata pumba zitupilie mbali. Watanzania wa leo sio wa 1940, tafakari chukua hatua:poa
 
Hivi kwenye hiyo statement kuna MAHALI NIMESEMA NATAKA KUHAMA CHAMA KWASABABU WAMEPANDISHA POSHO???????!!!!! KESHO NA KESHOKUTWA MTASEMA NAPE BINGWA WA KUKANA!!!!!!!!!!!!!!!!

Mtu akiwa na tabia ya wizi mathalani kitu kikitoweka iwe nyumbani au ofisini au kwenye jumuiko lolote watasema ni yeye. Kwa kuwa umezoea kutoa kauli kinzani ndio maana ni rahisi watu wakasema chochote in disguise kuwa wewe ndio umesema. Lakini kingine ungeanza na sababu za timings. Mbona kina Zito walipohoji uhalali wa posho nyingi anazochukua mbunge hukutoa tamko by virtue of your position? Why now? As we are living in a strategic planet tuambie ndoto hii umeipata wapi ya kupinga ongezeko la posho? Is it your party consesus au ni wewe umeibuka na hii hoja? Haitoshi kutoa tamko likipinga kwani hilo ndio unafikiri wengi wanataka kusikia kwako swala je why now and not yesterday?
 
Hivi kwenye hiyo statement kuna MAHALI NIMESEMA NATAKA KUHAMA CHAMA KWASABABU WAMEPANDISHA POSHO???????!!!!! KESHO NA KESHOKUTWA MTASEMA NAPE BINGWA WA KUKANA!!!!!!!!!!!!!!!!
sio wewe tu ni bingwa.... magamba wote ni wamoja.
 
Kauli ya Nape si mbaya. Hata hivyo ni ya mashaka, kwani chama chake ndicho kinachotawala na ndicho chenye wabunge wengi ambao wamekaa kama genge la wanjyonyaji wa nchi wasio na huruma kwa waliowapeleka huko. Eti Rais hajasini waraka wa posho hizo, siamini. Bi koroboto alipata wapi nguvu ya kutangaza kupanda posho wakati katibu wa himaya yake dr. Kashilila, ameshakkanusha kutolewa kwa posho hizo!!
Mbona mnasahau mapema!! JK si alisema haijui Richmond/Dowans na kwamba hajakutana na wamiliki wake lakini juzi akaumbuliwa na EL kuwa Richmond ni mali yake JK!!
CHADEMA nao sioni kama wako 'serious' Akina Zito, Mnyika wanasema NO kwa Posho; Selasini na Shibuda - YES kwa posho. Hivi kweli kuna mbunge mwenye moyo wa kuwajali wananchi wake na kuachia huo wizi wa mchana wa kupokea posho kwa kusinzia kwenye viti vinavyonesa mjengoni? Mwache Nape aseme ingawa alikosimamia si pazuri.
 
hivi kwenye hiyo statement kuna mahali nimesema nataka kuhama chama kwasababu wamepandisha posho???????!!!!! Kesho na keshokutwa mtasema nape bingwa wa kukana!!!!!!!!!!!!!!!!

!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kama kuna mtu hakujui hapa jf anaweza akakuamini , lakn kwa wenye akili timamu, hata wewe ukijua hilo tunakugomea!
Wakikukalia kooni wabunge wako utakuja kuruka 100% hujawahi kusema hayo kama ulivyoruka hujawahi kuwataja akina lowasa kujiuzuru wao wakakutaja wazi wazi na umekaa kimyaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!
Ushauri huko ulikoingia choo kimebomoka!
 
Tusingelikua na mashaka na kauli ya CCM kama yafuatayo yangelitokea baada ya kugundulika kupandishwa kwa posho hizo:

Kwanza kigugumizi cha serikali na kauli za kupingana kati ya katibu wa bunge Dr. Kashilila Spika Anne Makinda.

Pili ukimya wa Ikulu kwa swala hilo.

CHADEMA walifichua mpango huo wa kupandisha posho kinyamela na kuupinga na kuutolea kauli mara moja. Dr. Kashilila alitoa kauli ya kukanusha baada ya siku kumi, wakati vyombo vya habari na wanaharakati pamoja na wananchi walikua wakipinga kitendo hicho, baadaye akaibuka Spika Anne Makinda kuthibitisha kupanda kwa posho hizo. Baada ya siku 15 za marumbano CCM inaibuka na kauli ya kupinga ongezeko hilo!Walikua wapi kabla?

Kwa mtiririko wa swala zima TUNA KILA HAKI KUWA NA MASHAKA NA KAULI YA CCM. Walikuwa wakijua kila kilichokua kikiendelea ni reaction ya walalahoi iliowafanya wabadiri kibao. WAMECHELEWA KWANI SIKU ZINAVYOENDA MBELE WATU WANAELEWA USANII WAO.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Hivi kwenye hiyo statement kuna MAHALI NIMESEMA NATAKA KUHAMA CHAMA KWASABABU WAMEPANDISHA POSHO???????!!!!! KESHO NA KESHOKUTWA MTASEMA NAPE BINGWA WA KUKANA!!!!!!!!!!!!!!!!

mkuu Nape hapa nadhani wadau wametumia kale kasomo kanaitwa logic...
yaani
if A - > B
and
B - >C
then
A - > C

TAFAKARI NA CHUKUA HATUA HA HA
 
guys, you still believe in this person? miaka 50 ya uhuru waganga njaa bado ni wengi mbaya zaidi hadi kwa vijana.
 
Angalau Nape ameonesha njia...ni vizuri waendelee kutofautiana katika suala hili la Posho....
CCM ina wenyewe, kijana anakuruka tu, awasubiri waongee wenye chama. - siku 90 za magamba zimekuwa miaka 50 ya uhuru, then amekurupukia posho, after one month muulizeni atakavyowaruka - mita mia kama mwanariadha wa jumuiya ya madola. siasa ngumu wanajamii, ndiyo maana mi nimeamua kuwa mjasiria.
 
Back
Top Bottom