MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Chadema nao watoe tamko la chama sio kila kiongozi wa chadema anaongea msimamo wake. Mara Mnyika mara Zitto mara shibuda tumwamini yupi
Hapa umeongea cha maana mkuu. CDM kama chama hawana msimamo wa pamoja. Kila mtu ana mtizamo wake. Hongera sana Nape na CCM kwa kulifanyia kazi suala la posho mapema.Chadema nao watoe tamko la chama sio kila kiongozi wa chadema anaongea msimamo wake. Mara Mnyika mara Zitto mara shibuda tumwamini yupi
Hawa ndio watu wanaoongea kama Bata, hujui kama Mnyika ni katibu wa wabunge wa CHADEMA? hakuna sababu hata ya CHADEMA kuliongelea hili wakati wao wenyewe wabunge ambao wako Bungeni tayari katibu ameshatoa tamko rasmi.Chadema nao watoe tamko la chama sio kila kiongozi wa chadema anaongea msimamo wake. Mara Mnyika mara Zitto mara shibuda tumwamini yupi
Huu ni msimamo wa Chama. Nape amekiwakilisha tu chama. But kwa CDM ni tofauti...kila kiongozi wa CDM ana msimamo wake tofauti linapokuja suala la posho.Na wewe nashindwa kukuelewa, kwani aliyepinga posho ni Nape au CCM? kumbukeni Nape ni ofisa habari wa CHAMA kwahiyo anatoa taarifa kwa umma kwa niaba ya chama na hivi ndivyo ninavyofahamu mimi.
Siamini kwamba kila atakaloongea Dr Slaa basi ni kauli yake au msimamo wake, bali huwa anaongea kauli ya chama ambayo inatokana na vikao au maagizo maalum. Hapa mimi bado hamjaniingiza kwenye mkenge huu.
[h=6]Maadhimisho ya miaka hamsini ya Uhuru yamegharimu shilingi bilioni 64 hivi. Hii ni jumla ya malipo yote ya posho, mishahara, vitendea kazi n.k. Inajumuisha yale maonesho ya "wizara na idara" mbalimbali pamoja na gharama za tukio lenyewe la Disemba 9. Wapo wanaosema kutokana na ukuu wa tukio lenyewe ni gharama za lazima tena ni ndogo; ilitakiwa iwe si chini ya "bilioni 100". Lakini wengine wanasema kwa kutumia visifa mbalimbali "ni wizi, wehu, uporoaji" n.k.. wewe unaonaje?[/h]Hapa umeongea cha maana mkuu. CDM kama chama hawana msimamo wa pamoja. Kila mtu ana mtizamo wake. Hongera sana Nape na CCM kwa kulifanyia kazi suala la posho mapema.
Hapa tunaongelea kuongezeka kwa posho za wabunge. Habari za maadhimisho ya Uhuru zinatoka wapi? think BIG mkuuMaadhimisho ya miaka hamsini ya Uhuru yamegharimu shilingi bilioni 64 hivi. Hii ni jumla ya malipo yote ya posho, mishahara, vitendea kazi n.k. Inajumuisha yale maonesho ya "wizara na idara" mbalimbali pamoja na gharama za tukio lenyewe la Disemba 9. Wapo wanaosema kutokana na ukuu wa tukio lenyewe ni gharama za lazima tena ni ndogo; ilitakiwa iwe si chini ya "bilioni 100". Lakini wengine wanasema kwa kutumia visifa mbalimbali "ni wizi, wehu, uporoaji" n.k.. wewe unaonaje?
Hawa ndio watu wanaoongea kama Bata, hujui kama Mnyika ni katibu wa wabunge wa CHADEMA? hakuna sababu hata ya CHADEMA kuliongelea hili wakati wao wenyewe wabunge ambao wako Bungeni tayari katibu ameshatoa tamko rasmi.
Hii ndio shida yenu watu wenye akili za shake well before use, weka mbali na watoto half empty glass brain.
Tamko hili sio la Nape ni la chama kwa nini tunamshambulia Nape binafsi. Kwenye agenda ya posho tunapaswa kuunga mkono tamko hili kwani tumekuwa sehemu ya watanzania waliopinga ongezeko la posho
Si niliwahi kusikia kamati kuu ya CCM IMEITAKA SERIKALI KUSHUSHA BEI YA SUKARI! JE SERIKALI ILITII MAAGIZO YA KAMATI KUU YA ccm?Hapa tunaongelea kuongezeka kwa posho za wabunge. Habari za maadhimisho ya Uhuru zinatoka wapi? think BIG mkuu
Mjomba, kwa kumbukumbu zangu ulishawahi kudai kwamba wewe si mwanachama wa JF. Leo imekuwaje tena! Kigeugeu! Naona gamba limeng'ang'ania kiunioni. Mzee EL bado anadunda tu. Kelele zooote ulizokuwa unatupigia hapa kumbe ulikuwa unatuchosha masikio yetu tu. Kama umeshindwa la gamba una uhakika gani kwamba JK atakusikiliza kwa hili linalowahusu Wabunge ambao wa CCM ambao wakisema shiiiii, nyie wote lazima muufyate? Kwa busara ni heri unyamaze tu uache mambo yajiendeshe yenyewe kama anavyofanya Mwenyekiti wako.Hivi kwenye hiyo statement kuna MAHALI NIMESEMA NATAKA KUHAMA CHAMA KWASABABU WAMEPANDISHA POSHO???????!!!!! KESHO NA KESHOKUTWA MTASEMA NAPE BINGWA WA KUKANA!!!!!!!!!!!!!!!!
Ni uzumbukuku kuchanganya kumchukia Nape na uzito wa hoja aliyotoa kuhusu posho za wabunge.
Hivi kwenye hiyo statement kuna MAHALI NIMESEMA NATAKA KUHAMA CHAMA KWASABABU WAMEPANDISHA POSHO???????!!!!! KESHO NA KESHOKUTWA MTASEMA NAPE BINGWA WA KUKANA!!!!!!!!!!!!!!!!
"CCM VIGEUGEU"Ilianza hivi,
Katibu Wa Bunge (Hakuna Posho),
Spika Wa Bunge (Posho Ipo Maisha Yamepanda)
Tukasikia Mkuu Wa Kaya Kagoma Kusaini Waraka Wa Posho,
Na Sasa Chama Chao Kinalaani Posho.
Yupi wa kumuamini? Kitakachofuata ni nini?
CCM imeona isikae kimya au Nape ameona asikae kimya? CCM imefanya kikao gani kuamua hayo?CCM imeona si vema kukaa kulikalia kimya na hivyo imetoa msimamo wake kama ifuatavyo: