Kigeugeu Mh!! haya yanatoka kwenye chama chake au ni mtazamo wake binafsi maana anaweza kujifanya anasema hivi kesho akabadilisha kauli kwani si mara ya kwanza kuwa kigeugeu
Ilianza hivi,
Katibu Wa Bunge (Hakuna Posho),
Spika Wa Bunge (Posho Ipo Maisha Yamepanda)
Tukasikia Mkuu Wa Kaya Kagoma Kusaini Waraka Wa Posho,
Na Sasa Chama Chao Kinalaani Posho.
Yupi wa kumuamini? Kitakachofuata ni nini?
Kigeugeu Mh!! haya yanatoka kwenye chama chake au ni mtazamo wake binafsi maana anaweza kujifanya anasema hivi kesho akabadilisha kauli kwani si mara ya kwanza kuwa kigeugeu
Kwa hili wamekusingizia.Hivi kwenye hiyo statement kuna MAHALI NIMESEMA NATAKA KUHAMA CHAMA KWASABABU WAMEPANDISHA POSHO???????!!!!! KESHO NA KESHOKUTWA MTASEMA NAPE BINGWA WA KUKANA!!!!!!!!!!!!!!!!
Bravo Nape. Wewe ni miongoni mwa watanzania wachache sana ninaowaheshimu kwa kuwa na msimamo. Najua kuna wanafiki wengi sana humu wanaohoji uzalendo wako.
Hivi kwenye hiyo statement kuna MAHALI NIMESEMA NATAKA KUHAMA CHAMA KWASABABU WAMEPANDISHA POSHO???????!!!!! KESHO NA KESHOKUTWA MTASEMA NAPE BINGWA WA KUKANA!!!!!!!!!!!!!!!!
Na wewe nashindwa kukuelewa, kwani aliyepinga posho ni Nape au CCM? kumbukeni Nape ni ofisa habari wa CHAMA kwahiyo anatoa taarifa kwa umma kwa niaba ya chama na hivi ndivyo ninavyofahamu mimi.Bravo Nape. Wewe ni miongoni mwa watanzania wachache sana ninaowaheshimu kwa kuwa na msimamo. Najua kuna wanafiki wengi sana humu wanaohoji uzalendo wako.