bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,354
huo mkutano ulikuwa wa vijana au vijana wa ccm, maana wanaojiita vijana wa ccm wakati mwingine wana miaka hata 40.
Hivi kwa CCM kijana anatakiwa awe na miaka mingapi maana naona mimi kama vijana kwa CCM hawana ukomo usishangae siku moja unaambiwa katibu wao Mkama eti nae ni kijana