Hapa uswe, huyu jamaa ameanza vibaya, anaongea maneno mengi bila kufikiria. Huenda hakutegemea kupata cheo hiki. Najua ana msimamo na anajua kujenga hoja, lakini tatizo la kuwa na gamba la kijani ni unafiki. Ndiyo maana mtu anaweza kusema kile ambacho haamini.