Wanajamvi napitia gazeti la Dira hapa sasa hivi kuna mchambuzi kanifurahisha sana aisee yeye anamtaka Nape Nauye afikiri kabla hajajibu hoja lakini huyu mchambuzi kanifurahisha zaidi anapohoji Nape kapewa na nani mamlaka ya kuwa msemaji wa serikali? halafu huyu mchambuzi anaitaka serikali ijibu hoja za CHADEMA maramoja sio kumwachia Nape ambaye kwa maelezo ya mwandishi amepwaya sana, anaropoka tu....aisee huyu mchambuzi ni noma...teh teh teh!