kizazi kipya
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 327
- 62
Habari zilizothibitishwa na mmoja wa wanafunzi wa udsm ambaye amewahi kufuatwa na nape zinasema katibu huyo mwenezi ametafuta vijana ambao tayari wameanza kazi rasmi hapa jamii.Kazi yao ni kuleta thread za kumsifia jk na ccm yake na wanalipwa kila mwezi na ccm kwa kazi hiyo.Chanzo cha habari kinadai kuwa killiwahi kufuatwa na nape ili amsaidie kutafuta vijana hao wa kutetea maovu ya ccm lakini alikataa...uthibibitisho wa hili kuna watu hapa jamii wamejiunga kati ya march 2011 na may 2011 na post zao ni either kumtetea jk na ccm yake au kuponda thread zinazoenda against serikali ya ccm.
Tujiandae kuona vijana zaidi wa ccm wakijiunga.Hii ndo ccm inayonuka uvundo.
Source: intelijensia yangu.
Tujiandae kuona vijana zaidi wa ccm wakijiunga.Hii ndo ccm inayonuka uvundo.
Source: intelijensia yangu.