akilimtindi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2008
- 421
- 83
Kuna utata kuhusu nini cha kuwaambia waandishi wa habari, hata hivyo mimi namuona Nape kama mtoto aliyepewa leseni kabla ya umri wake. Ikiwezekana atataka kuendeshea hiyo gari hata kwenye mapaa ya nyumba za watu, yeye wakati wote lugha zake ni za kihuni hata ukiambiwa ametukana huwezi kukataa maana unayoyasikia hadharani kawaida yana mwelekeo huo.