hapa na copy kauli ya nape kwenye wall page- face book
"WalIodai barua za watuhumiwa wa afisadi zisingetoka...... Aibu kwao sasa.... Ooh hawawezi kutoa....haya sasa"
source: Face book (nape - wall page)
Sasa mbona haandiki kama mtu mwenye authority anaandika kama majungu tu!! Atuambie tu kama wamepewa na siyo kuonyesha kama anazomea vile.
Katibu wa uenezi na propaganda ulitemea aandike tofati na hadija kopa??????
"WalIodai barua za watuhumiwa wa afisadi zisingetoka...... Aibu kwao sasa.... Ooh hawawezi kutoa....haya sasa"
[/COLOR]