mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
Akiongea na MakutanoShow sasa hivi ameongelea kuhusu mgombea urais kupitia CCM baada ya kuulizwa kuhusu tuhuma za rushwa zinazohusishwa na mbio za urais.
Amesema hata kama mtu akijaza wapambe wake CC na NEC siyo kigezo cha kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa urahisi.
Alitoa mfano mara tatu kuhusu Lowassa kwamba siyo msafi na hata Nyerere alisema hivyo. Alisema kwamba siyo lazima kuwepo ushahidi bali kama watu wanaongea tu na kukuhisi inatosha kuthibitisha kwamba wewe siyo msafi.
what a load of bull s****, mbona nape akiulizwa kuhusu swala la abeid kumteka ulimboka anasema hayo ni maneno tu hakuna ushahidi...ccm bana mnapotaka nyie ndo mnaulizia ushahidi ikija lowasa mnamshambulila tu bila ushahidi...