MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Ila na mimi najiuliza. Kama Nape ana taka hawa watu wawe na ujasiri na kujitokeza kwa nini Nape asiwe na ujasiri na kuwataja hawa waasi? Na kama Nape anataka maswala haya yajadiliwe kichama why is this statement public?Unaweza kuwa na valid concerns kuhusiana na kofia hizo mbili lakini ukweli ni kwamba masuala hayo yanastahili kujadiliwa ndani ya chama na siyo kuhonga watu na kuendesha mambo kinyemela ili jambo hilo lichomekwe kwa nia ya kutaka kumpandikiza mtu mwenye uchu wa madaraka na roho ya visasi.
Alichosema Nape ni kwamba watu wawe wajasiri kwa kujitokeza hadharani na kuleta hoja hiyo mezani ili ijadiliwe na siyo vinginevyo. Kufanya vinginevyo ni uhaini na unajiuliza kwa nini watu hawa wako huru hadi sasa.