Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Kumekuwa na lawama siku hizi kuhusu nidhamu bungeni kuwa bunge letu limekosa nidhamu na uvumilivu na wamekuwa wakiacha shughuli nyeti za bunge na kubakiza ushabiki wa vyama,hali hiyo iliendelea leo asubuhi wakati katibu wa uenezi wa CCM Nape Nnauye alipotambulishwa kama mgeni aliposhangiliwa na wabunge wa CCM mpaka spika aliposema inatosha lakini waliendelea na makelele na spika akarudia kauli hiyo mara 3 bila mafanikio!