Nape anaposhangiliwa bungeni baada ya kutambulishwa...!!

Eiyer

JF-Expert Member
Apr 17, 2011
28,258
20,709
Kumekuwa na lawama siku hizi kuhusu nidhamu bungeni kuwa bunge letu limekosa nidhamu na uvumilivu na wamekuwa wakiacha shughuli nyeti za bunge na kubakiza ushabiki wa vyama,hali hiyo iliendelea leo asubuhi wakati katibu wa uenezi wa CCM Nape Nnauye alipotambulishwa kama mgeni aliposhangiliwa na wabunge wa CCM mpaka spika aliposema inatosha lakini waliendelea na makelele na spika akarudia kauli hiyo mara 3 bila mafanikio!
 
Kumekuwa na lawama siku hizi kuhusu nidhamu bungeni kuwa bunge letu limekosa nidhamu na uvumilivu na wamekuwa wakiacha shughuli nyeti za bunge na kubakiza ushabiki wa vyama,hali hiyo iliendelea leo asubuhi wakati katibu wa uenezi wa CCM Nape Nnauye alipotambulishwa kama mgeni aliposhangiliwa na wabunge wa CCM mpaka spika aliposema inatosha lakini waliendelea na makelele na spika akarudia kauli hiyo mara 3 bila mafanikio!
Tunaomba utujuze mkutano wa CC /NEC wakujivua gamba na mkakati wa Igunga umefikia wapi?
 
Ndio wanachokifahamu wabunge wa CCM,makofi ,vigelegele,kuzomea,na kutoa shukrani na kumpongeza spika,wenyeviti na raisi wao, makubwa wanachi tunajionea ha ha ha ha ha hawajitambui hao
 
Taratibu. CCM wakivunja meza ni ajali. CDM wakipanga na kutengeneza meza baada ya kuvunjwa na CCM wanaambiwa ni watovu wa nidhamu. Waacheni wapigiane makofi kwani ndio kazi wanayoweza. Mengine yote wameshindwa. CCM+kulala+kupiga makofi+kuomba mwongozo+makelele= Ufisadi mkubwa
 
Kumekuwa na lawama siku hizi kuhusu nidhamu bungeni kuwa bunge letu limekosa nidhamu na uvumilivu na wamekuwa wakiacha shughuli nyeti za bunge na kubakiza ushabiki wa vyama,hali hiyo iliendelea leo asubuhi wakati katibu wa uenezi wa CCM Nape Nnauye alipotambulishwa kama mgeni aliposhangiliwa na wabunge wa CCM mpaka spika aliposema inatosha lakini waliendelea na makelele na spika akarudia kauli hiyo mara 3 bila mafanikio!
Mbona hajawatoa au wanao takiwa kutolewa ni wachdema peke yake....
 
Wabunge wa CCM hufikiri kwa kutumia makalio yao.
Kwa mfano akiingia na kutambulishwa Shy-Rose na Jafari wake watapiga makofi.
Paka akikatisha ukumbi watapiga makofi.

Hii ndiyo imekuwa hulka yao miak nenda miaka rudi...
 
Ukiwa mbunge wa ccm unatakiwa uwe unajua kupiga kelele sana na kugonga meza tu.
 
hawa wanajambo lao maana ingekuwa CDM, wangetolewa nje lakini kwa kuwa wao ndio binadamu wengine watu hatushangai sana time will tell
 
Wabunge wa CCM hufikiri kwa kutumia makalio yao.
Kwa mfano akiingia na kutambulishwa Shy-Rose na Jafari wake watapiga makofi.
Paka akikatisha ukumbi watapiga makofi.

Hii ndiyo imekuwa hulka yao miak nenda miaka rudi...

Umenivunja mbavu hapo kwenye nyekundu mkuu...
 
Lazima ataiweka hiyo kwenye wall yake ya FB

we jamaa unatisha kupredict,nimetoka huko FB,tayari keishatupia muda si mrefu! anawashukuru sana wabunge kwa kuonesha upendo na kumshangilia sana! wakati huo naona mimi hakukuwa na comment za marafiki kuona mawazo yao na cpia siwezi kupost link hapa coz natumia simu!
 
Kumekuwa na lawama siku hizi kuhusu nidhamu bungeni kuwa bunge letu limekosa nidhamu na uvumilivu na wamekuwa wakiacha shughuli nyeti za bunge na kubakiza ushabiki wa vyama,hali hiyo iliendelea leo asubuhi wakati katibu wa uenezi wa CCM Nape Nnauye alipotambulishwa kama mgeni aliposhangiliwa na wabunge wa CCM mpaka spika aliposema inatosha lakini waliendelea na makelele na spika akarudia kauli hiyo mara 3 bila mafanikio!
kuna dhihaka flan huku mtaani kwetu kuwa kati ya wabunge ambao vganja vyao vmeota sugu kwa kubamiza mabench(vti) vya bungeni kwa kushangilia kishabik ni wabunge wa CCM.Kwa hiyo hata hilo la nape pia linaingia humohumo,sitashangaa nitakapo sikia baadhi ya wabunge wa ccm wakipelekwa india kulekebiswa makoo yao kutokana na madhara ya kupiga kelele kwa kushangilia hata hoja za kipuuzi ilmrad tuu zipo kiccm.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM imemaliza kikao chake cha siku moja usiku wa tarehe 31/07/2011 mjini Dodoma chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete. Pamoja na mambo mengine Kamati Kuu imeamua yafuatayo; 1. Imefanya uteuzi wa makatibu ishirini na saba (27) kujaza nafasi zilizokuwa wazi katika wilaya hizo. (majina na wilaya zao yameambatanishwa). Pamoja na uteuzi huo, Kamati Kuu imetengua uteuzi wa Makatibu wa Wilaya watatu (3) katika kuboresha ufanisi wa kazi katika wilaya hizo.(majina na wilaya zao yameambatanishwa). 2. Kamati Kuu imepokea na kuridhia taarifa ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kuwakilisha Mkoa wa Tabora, Ndugu Rostam Aziz. Aidha imempongeza kwa uamuzi huo uliozingatia maslahi mapana ya chama chake. 3. Kamati Kuu imepokea pia taarifa ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Mbunge wa Igunga, Ndugu Rostam Aziz na kuagiza chama kupanga ratiba ya mchakato wa kumpata mgombea ubunge wa Jimbo la Igunga itakayozingatia ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi juu ya uteuzi wa mgombea. Aidha Kamati Kuu imeagiza shughuli zote za kampeni kutafanywa na CCM Mkoa, Wilaya na ngazi zote za chama wilayani Igunga. CCM Taifa watashiriki kuongeza nguvu. Chama kinatoa wito kwa wana CCM, wapenzi na wakereketwa wa chama chetu kushiriki kwa pamoja kuhakikisha jimbo linabaki kwa CCM. 4. Kamati Kuu haijaridhishwa na kiwango cha bei ya mafuta ya taa nchini kwa kuwa ndio nishati inayotumiwa na wananchi wengi wenye kipato cha chini. Aidha Kamati Kuu haikuridhishwa na maelezo ya kupandishwa kwa bei ya mafuta hayo kwa kisingizo cha kuzuia uchakachuaji wa mafuta mengine. Hivyo basi, Kamati Kuu imeiagiza Serikali kutafuta njia za kushusha bei ya mafuta ya taa na kuvitaka vyombo vya Serikali vinavyohusika na usimamiaji wa ubora wa mafuta, vihakikishe vinatimiza wajibu wake kuzuia kabisa mtindo wa uchakachuaji wa mafuta nchini na si kupandisha bei ya mafuta ya taa kama suluhisho. 5. Kamati Kuu inasikitishwa na tatizo la umeme nchini kwani athari zake kwa uchumi wa Taifa na mtu mmoja mmoja ni kubwa. Hivyo basi imeitaka Serikali kutumia muda iliyopewa wa kurekebisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kuja na mpango wa dharura wa kunusuru hali hii na kisha kulimaliza kabisa tatizo la umeme nchini. 6. Aidha Kamati Kuu imejadili masuala mengine kama; migogoro ya ardhi, tatizo la bei ya pamba, tatizo la uuzaji wa mahindi, migogoro migodini, masuala yanayohusu kero za Muungano na kuagiza Serikali kuyashughulikia kwani yanatatulika. 7. Kamati Kuu imeipongeza Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa kwa kazi nzuri ya kutekeleza maamuzi ya NEC na kuitaka iongeze kasi katika utekelezaji huo, ili kuhakikisha mageuzi yaliyokusudiwa yanatekelezwa kwa wakati. Aidha imejadili na kupitisha miundo mipya ya Idara ya Itikadi na Uenezi na Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa. 8. Kuhusu suala la maadili ndani ya Chama, Chama kinaendelea kusimamia maadili, na kuwataka wale waliotakiwa kujipima na kuwajibika watumie muda huo, kujipima na kuwajibika kwa masilahi mapana ya chama. Aidha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa inatarajiwa kukutana wakati wowote mwezi Septemba, ambapo pamoja na mambo mengine itatathimini utekelezaji wa maamuzi yake. Imetolewa na:-
Nape M. Nnauye (MNEC)
KATIBU WA NEC, ITIKADI NA UENEZI
DODOMA
1/8/2011
 
<p style="text-align: center;"><p style="text-align: center;"><span style="font-family: Times New Roman">TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI</span></p></p> <span style="font-family: Times New Roman">Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM imemaliza kikao chake cha siku moja usiku wa tarehe 31/07/2011 mjini Dodoma chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.</span> <span style="font-family: Times New Roman">Pamoja na mambo mengine Kamati Kuu imeamua yafuatayo;</span> <span style="font-family: Times New Roman">1. Imefanya uteuzi wa makatibu ishirini na saba (27) kujaza nafasi zilizokuwa wazi katika wilaya hizo. (majina na wilaya zao yameambatanishwa). Pamoja na uteuzi huo, Kamati Kuu imetengua uteuzi wa Makatibu wa Wilaya watatu (3) katika kuboresha ufanisi wa kazi katika wilaya hizo.(majina na wilaya zao yameambatanishwa).</span> <span style="font-family: Times New Roman">2. Kamati Kuu imepokea na kuridhia taarifa ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kuwakilisha Mkoa wa Tabora, Ndugu Rostam Aziz. Aidha imempongeza kwa uamuzi huo uliozingatia maslahi mapana ya chama chake. </span> <span style="font-family: Times New Roman">3. Kamati Kuu imepokea pia taarifa ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Mbunge wa Igunga, Ndugu Rostam Aziz na kuagiza chama kupanga ratiba ya mchakato wa kumpata mgombea ubunge wa Jimbo la Igunga itakayozingatia ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi juu ya uteuzi wa mgombea.</span> <span style="font-family: Times New Roman">Aidha Kamati Kuu imeagiza shughuli zote za kampeni kutafanywa na CCM Mkoa, Wilaya na ngazi zote za chama wilayani Igunga. CCM Taifa watashiriki kuongeza nguvu. Chama kinatoa wito kwa wana CCM, wapenzi na wakereketwa wa chama chetu kushiriki kwa pamoja kuhakikisha jimbo linabaki kwa CCM.</span> <span style="font-family: Times New Roman">4. Kamati Kuu haijaridhishwa na kiwango cha bei ya mafuta ya taa nchini kwa kuwa ndio nishati inayotumiwa na wananchi wengi wenye kipato cha chini. Aidha Kamati Kuu haikuridhishwa na maelezo ya kupandishwa kwa bei ya mafuta hayo kwa kisingizo cha kuzuia uchakachuaji wa mafuta mengine. </span> <span style="font-family: Times New Roman">Hivyo basi, Kamati Kuu imeiagiza Serikali kutafuta njia za kushusha bei ya mafuta ya taa na kuvitaka vyombo vya Serikali vinavyohusika na usimamiaji wa ubora wa mafuta, vihakikishe vinatimiza wajibu wake kuzuia kabisa mtindo wa uchakachuaji wa mafuta nchini na si kupandisha bei ya mafuta ya taa kama suluhisho.</span> <span style="font-family: Times New Roman">5. Kamati Kuu inasikitishwa na tatizo la umeme nchini kwani athari zake kwa uchumi wa Taifa na mtu mmoja mmoja ni kubwa. Hivyo basi imeitaka Serikali kutumia muda iliyopewa wa kurekebisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kuja na mpango wa dharura wa kunusuru hali hii na kisha kulimaliza kabisa tatizo la umeme nchini. </span> <span style="font-family: Times New Roman">6. Aidha Kamati Kuu imejadili masuala mengine kama; migogoro ya ardhi, tatizo la bei ya pamba, tatizo la uuzaji wa mahindi, migogoro migodini, masuala yanayohusu kero za Muungano na kuagiza Serikali kuyashughulikia kwani yanatatulika.</span> <span style="font-family: Times New Roman">7. Kamati Kuu imeipongeza Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa kwa kazi nzuri ya kutekeleza maamuzi ya NEC na kuitaka iongeze kasi katika utekelezaji huo, ili kuhakikisha mageuzi yaliyokusudiwa yanatekelezwa kwa wakati. Aidha imejadili na kupitisha miundo mipya ya Idara ya Itikadi na Uenezi na Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa.</span> <span style="font-family: Times New Roman">8. Kuhusu suala la maadili ndani ya Chama, Chama kinaendelea kusimamia maadili, na kuwataka wale waliotakiwa kujipima na kuwajibika watumie muda huo, kujipima na kuwajibika kwa masilahi mapana ya chama.</span> <span style="font-family: Times New Roman">Aidha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa inatarajiwa kukutana wakati wowote mwezi Septemba, ambapo pamoja na mambo mengine itatathimini utekelezaji wa maamuzi yake. </span> <span style="font-family: Times New Roman">Imetolewa na:-</span> <p style="text-align: center;"><p style="text-align: center;"><span style="font-family: Times New Roman">Nape M. Nnauye (MNEC)</span></p></p> <p style="text-align: center;"><p style="text-align: center;"><b><span style="font-family: Times New Roman">KATIBU WA NEC, ITIKADI NA UENEZI</span></b></p></p> <p style="text-align: center;"><p style="text-align: center;"><span style="font-family: Times New Roman"><b>DODOMA</b></span></p></p> <p style="text-align: center;"><p style="text-align: center;"><span style="font-family: Times New Roman">1/8/2011</span></p></p>
<br />
<br />
Hawa jamaa kwa mipango kiboko,tatizo ni utekelezaji ni matatizo matupu!
 
Back
Top Bottom