yaani ukisema Nape ni zaid ya mdhooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooofuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu Urooooooooooooooooojoooooooooooooooooooooooooooo
kiongozi kukutaja ni muhimu, uwezi kwenda kumuomba mungu akusaidie,na akuepushe na majanga ukaacha kumtaja shetani.kumbuka wewe ni msemaji wa wadhaifu lazima tukutaje,tutakuacha endapo utastafu cheo chochote ndani ya wadhaifu kama tulivyo muacha kiboko yako yusufu makamba
kwa maoni yangu nape na chama chake ni maiti iliyobaki najoto wenyewe magamba wakiigusa wanaamini itaamka au bado imezima tu itaamka soon, kwishaaah, nakwamwendo huu nitaenda kujibu hoja za hao mashehe njaa kusini, namimi ni mkusini na pia muislam waache kufuta nyayo zetu.
Mi sikutaji ili nilale kwa kukuambia kwamba wewe ccm ni dhaifu mno, tena kwako wewe umeshindwa hata kukidhi matarajio ya wana ccm, Umejiingiza kwenye sihasa za Maji taka kijana ulietakiwa kufikiria zaidi kwa kuona utakuwepo kwenye Game ya sihasa muda mrefu, Ni aibu kwako na kwa ccm yote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.