Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Huyu bwana hajaacha mambo yake ya hadithi za pwagu na pwaguzi.!
hivi huyu si alitakiwa kuwa igunga huyu..au kafukuzwa kwenye kampeni
\HIVI HUYU JAMAA SINIMKUU WA WILAYA GANI SIJUI AU KUMBUKUMBU ZANGU SIYO SAWA Je kama ni ndiyo huko wanapataje huduma yake??Hii nchi!
Sijui nikimbilie wapi ugando ndiyo kabisa,Rwanda Mkono wachuma democrasia hakuna,Burundi huko mito yao inabidi ujaze mgrunedi ulalala nayo uchagoni!!Kulikobaki sifanani nako wataninyanyapaa!!
Nasikia alikimbia virungu nusu wamvue gamba na yeye.
There you are advocate,,! they r there nt for us, bt for their own personal benefits. the only way is to get rid of them all.\
Kwa nchi hii viongozi wote wa CCM na serekali na Rais JK na chama tawala hawako kwa ajiri ya wananchi bali kwa matumbo yao na maslahi yao.Katika nafasi wanazozitumikia hakuna aja ya kufanya lolote bali kwa manufaa yao binafsi au tuseme nafasi zilizopo za viongozi hazina umuhimu wowote kwa wananchi kwani hazitatui matatizo yao.Ni mikoa mingapi kwa muda mrefu ilikua haina wakuu wa mikoa hakukua na tofauti yoyote,au Nape anaweza kutuambia ni lini mara ya mwisho alikua katika nafasi yake ya kazi kama mkuu wa wilaya?
Nape usidhani kwamba wote ni watoto kama hao ambao huwa unawahutubia kwenye mikutano yako ya CCM. Unachokifanya Mwanza unapiga ndogondogo ili uhamishiwe Mwanza na ikiwezekana 2015 ugombee ubunge Mwanza. Sidhani kama bado unamvuto kwa wananchi hasa wa Mwanza. Hapa Dar penyewe umechemsha sembuse Mwanza?? Kamuulize BOSI wako MASHA na JK watakupa historia ya Mwanza. Hapa Dar umemkimbia John Mnyika huna ubavu wa kuhimili vishindo vya jembe la Mnyika.?????Kichomiz,
UONGO JADI YAKO
Nape anapendeza! Hasa akiweka vidole juu kila akiongea