segwanga
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,789
- 729
Nape amejikuta akitumiwa bila ya yeye kujielewa kwamba anatumiwa.Alikuwa amefumba macho na kuziba masikio kiasi cha kutosikia kauli ya mwenyekiti wake kuwa 'akili ya kufundishwa iongezewe na ile ya kwake'.
Alikuwa anachochewa e.g JK alishawahi kusema kwamba anayo yasema Nape ndo maazimio ya CC leo hii Jk baada ya kumtumia anasema atachukuliwa hatua za nidham kwa kuwachafua mapacha watatu.Nisimalize mjadala pekee, ongezeni na kwenu.
Alikuwa anachochewa e.g JK alishawahi kusema kwamba anayo yasema Nape ndo maazimio ya CC leo hii Jk baada ya kumtumia anasema atachukuliwa hatua za nidham kwa kuwachafua mapacha watatu.Nisimalize mjadala pekee, ongezeni na kwenu.