Ana wa alienate Wachaga ndani ya CCM, kweli kabisa. Kwa hiyo tayari kuna wana CCM washaanza kumdharau, na ile heshima yake kwa wale anaowaongoza inapungua, yeye hilo halielewi.Anawaambia nini wachaga walioko CCM?
Ana wa alienate Wachaga ndani ya CCM, kweli kabisa. Kwa hiyo tayari kuna wana CCM washaanza kumdharau, na ile heshima yake kwa wale anaowaongoza inapungua, yeye hilo halielewi.Anawaambia nini wachaga walioko CCM?
nape ni mpambanaji haswa, cdm mlizoea kumnyanyasa wagosi wa kaya "makamba na tambwe hiza" hizi ni zama za kujibu mapigo.
Mapigo ya nape ni makali kiasi ambacho cdm wameona majibu kutoa slaa na mbowe hayatoshi hivyo komu, marandu na safari nao wakaingia uwanjani kumjibu nape. Ccm tupo mkao wa kula, upele umepata mkunaji, dawa ya makombora ya cdm imepatikana!!
nape ni mpambanaji haswa, cdm mlizoea kumnyanyasa wagosi wa kaya "makamba na tambwe hiza" hizi ni zama za kujibu mapigo.
Mapigo ya nape ni makali kiasi ambacho cdm wameona majibu kutoa slaa na mbowe hayatoshi hivyo komu, marandu na safari nao wakaingia uwanjani kumjibu nape. Ccm tupo mkao wa kula, upele umepata mkunaji, dawa ya makombora ya cdm imepatikana!!
Kwa iyo sisi tusioipenda ccm automatically tunakuwa wachagga! Na akina walioccm ni kutokea arusha ni wachaga pori? Ama kweli Nape umewachukia wachagga! Ebu ngoja tufanye utaratibu wa kuwaondoa wachaga walio ccm,wanyakyusa,wahaya na wengineo ambao kamati kuu ya ccm miaka ya 90 walisema hawatawahi kulitawala taifa!
nape ni mpambanaji haswa, cdm mlizoea kumnyanyasa wagosi wa kaya "makamba na tambwe hiza" hizi ni zama za kujibu mapigo.
Mapigo ya nape ni makali kiasi ambacho cdm wameona majibu kutoa slaa na mbowe hayatoshi hivyo komu,
marandu na safari nao wakaingia uwanjani kumjibu nape. Ccm tupo mkao wa kula, upele umepata mkunaji, dawa ya makombora ya cdm imepatikana!!
Pia amedai kwamba Chadema walizoea kuionea CCM kwa sababu hakukuwa na mtu makini anayejua kujibu hoja.............
nape ni mpambanaji haswa, cdm mlizoea kumnyanyasa wagosi wa kaya "makamba na tambwe hiza" hizi ni zama za kujibu mapigo.
Mapigo ya nape ni makali kiasi ambacho cdm wameona majibu kutoa slaa na mbowe hayatoshi hivyo komu,
marandu na safari nao wakaingia uwanjani kumjibu nape. Ccm tupo mkao wa kula, upele umepata mkunaji, dawa ya makombora ya cdm imepatikana!!
Ukweli upo wazi maamuzi ndani ya CDM sehemu kubwa inategemea na utashi wa watu wa Kaskazini; UDP imejikita sana Bariadi; NLD chama cha Makaidi kimejichimbia Masasi; UPDP na Dovutwa wana ngome Kisarawe; Peter Mziray utukufu wake upo Same Mashariki. Hata CUF kwa upande wa Tanganyika, wameshika ukanda wa pwani.
Hivyo Nape asilaumiwe kwa mtazamo wake juu ya wachaga na CDM, ushahidi upo wazi nendeni pale makao makuu ya chama chenu, nafasi zote kubwa zimeshikwa na watu wa Moshi. Imekuwa ni kawaida ndani ya CDM kuonekana na aina mbili za wanachama; ASILI (watu wa Kaskazini) na WAKUJA (watu watokao nje ya kanda ya kaskazini).
Natumaini wana CDM wengi mtachukia maneno yangu ingawa rohoni mnajua hiyo ni UHALISIA WA CHAMA chenu. USHAURI wa bure, watu wa Kaskazini walioshika mpini, muwe na mikakati ya makusudi kuhakikisha watu wengine wanashika nafasi za maamuzi kuliko kurithishana madaraka kimahusiano.
[FONT="[SIZE="4"]Unaposema huyu Nape ni mpambanaji, ni mpambanaji kwa lipi? Kwa uwongo, kwa kuongea, kwa kushindana kuongea au ndio anapambana kukizika chama na kukifutike mbali kabisa katika ramini ya watanzania. Hata Makamba alikuwa na spead hiyo hiyo ya Nape lakini alikwama kutokana na maneno mengi. Haya mashambulizi anayoleta huyu kijana yatakuja kumtokea puani na atakuja kujutia hapo baadaye yatakapo kuwa maswali na mtihani kwake.nape ni mpambanaji haswa, cdm mlizoea kumnyanyasa wagosi wa kaya "makamba na tambwe hiza" hizi ni zama za kujibu mapigo.
Mapigo ya nape ni makali kiasi ambacho cdm wameona majibu kutoa slaa na mbowe hayatoshi hivyo komu, marandu na safari nao wakaingia uwanjani kumjibu nape. Ccm tupo mkao wa kula, upele umepata mkunaji, dawa ya makombora ya cdm imepatikana!!
Viongozi wa Kitaifa
Mwenyekiti
Mhe. Freeman Aikaeli Mbowe (50)
Kutoka Hai, Kilimanjaro
freeman@chadema.or.tz
Makamu Mwenyekiti Bara
Mhe. Said Amour Arfi (56)
Kutoka Mpanda, Rukwa
Makamu Mwenyekiti Zanzibar
Mhe. Said Issa Mohammed (36)
Kutoka Pemba
Katibu Mkuu
Mhe. Willibrod Peter Slaa (62)
Kutoka Karatu, Arusha
Naibu Katibu Mkuu - Bara
Mhe. Zitto Zuberi Kabwe (35)
Kutoka Mwandiga, Kigoma Kaskazini
zitto@chadema.or.tz
Naibu Katibu Mkuu - Zanzibar
Mhe. Hamad Mussa Yussuf (33)
Kutoka Kaskazini Pemba
Wachaga wengi kweli Baangu....... Soma hapa: Sekretariati ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Wadau katika gazeti la mtanzania Nape Nauye (aka..Tambwe Hizza) amejibu makombora ya chadema na amesema kwamba Chadema wanatapatapa kwa sababu sasa amepatikana mtu makini wa kujibu hoja zao.Pia amedai kwamba Chadema walizoea kuionea CCM kwa sababu hakukuwa na mtu makini anayejua kujibu hoja.Ameapa ataendelea kuianika Chadema mpaka pale watanzania watakapotambua ni nani fisadi kati ya CCM na Chadema.
Pia amedai kwamba mshahara wa katibu mkuu wa CCM Wilson Mukama hauzidi milioni 3 kwa sababu CCM haina mafisadi kama chadema.Amesema pia kwamba hakuwahi kuomba kujiunga chadema eti kwa sababu yeye si mchaga.
Kuna vyombo vingine vya habari Nape amedai leo atazidi kuilipua na kuimaliza kabisa Chadema.............
Ukweli upo wazi maamuzi ndani ya CDM sehemu kubwa inategemea na utashi wa watu wa Kaskazini; UDP imejikita sana Bariadi; NLD chama cha Makaidi kimejichimbia Masasi; UPDP na Dovutwa wana ngome Kisarawe; Peter Mziray utukufu wake upo Same Mashariki. Hata CUF kwa upande wa Tanganyika, wameshika ukanda wa pwani.
Hivyo Nape asilaumiwe kwa mtazamo wake juu ya wachaga na CDM, ushahidi upo wazi nendeni pale makao makuu ya chama chenu, nafasi zote kubwa zimeshikwa na watu wa Moshi. Imekuwa ni kawaida ndani ya CDM kuonekana na aina mbili za wanachama; ASILI (watu wa Kaskazini) na WAKUJA (watu watokao nje ya kanda ya kaskazini).
Natumaini wana CDM wengi mtachukia maneno yangu ingawa rohoni mnajua hiyo ni UHALISIA WA CHAMA chenu. USHAURI wa bure, watu wa Kaskazini walioshika mpini, muwe na mikakati ya makusudi kuhakikisha watu wengine wanashika nafasi za maamuzi kuliko kurithishana madaraka kimahusiano.