GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
Kwenye ile thread ya kizungu cha Jenerali, iikuwa Kiranja vs Mchuuzi
Kwenye hii thread ya Nape na Chadema, ni Kiranja (tena) vs Mwafrika et al
It seems humu JF kuna watu wao wanapenda ligi tu hata pasipo mashindano. Masindano kama haya hivi mshindi hua anapata nini?
Mods u can take it up to the next level....muwe mnatangaza washindi wa kila thread ili i-make sense...sio mipasho tuuu
Kwenye hii thread ya Nape na Chadema, ni Kiranja (tena) vs Mwafrika et al
It seems humu JF kuna watu wao wanapenda ligi tu hata pasipo mashindano. Masindano kama haya hivi mshindi hua anapata nini?
Mods u can take it up to the next level....muwe mnatangaza washindi wa kila thread ili i-make sense...sio mipasho tuuu