Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,575
NN,
Hawa wanaalikwa tu kwa gesture kuwa siasa sio ugomvi. Kama vile baada ya mechi watu mnabadilishana jezi. That's how i take it
Oh okay...sasa subiri uone CCM watakaposhindwa kura huo ugomvi utakaozuka. Si uliona kilichotokea Kenya...si uliona yaliyomkuta Chengirai (najua tahajia za jina lake sio hizo but u know who am talkin bout)....Au unakumbuka jinsi Ali Ameir Mohamed alivyokuwa aking'aka kwenye vyombo vya habari ile '95 kule Zanzibar....
I've had it up to here with these modasuckers.....yakishindwa yataanzisha ugomvi. Can't truss 'em...