tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
naomba majina yao hao 'wasomi' then niwa-mark hakuna kupata kazi ofisini kwangu
Hivi nyie wanasiasa watanzania lini mtaacha malumbano yasio na maana na kuongelea matatizo ya watanzania na jinsi gani yakuyatatua. Hii JF nikama sehemu moja inaitwa mabwawa 7 karibia na Chuo Kikuu UDSM. Papo karibu na akili za Tanzania lakini pamejaa mavi matupu. Tuongeleeni matatizo makuu ata ma 5 au kumi ambayo yanakabili Tanzania na jinsi ya kuyatatua. Wenzetu wanafanya mambo ya nano-engineering huko sisi tunashindwa ata kuchonga madawati mpaka vodacom waje watufanyie wakati kuna jeshi lisilo pigana vita, vijana chungumzima hawafanyi kazi yoyote. Acheni kujadiliana propaganda. TUAMKE BASI JAMANI!
<br /><i><font face="lucida console"><font size="3">mtu mzima akisema uongo si vibaya kumwambia ametekleza. Haya ya mapesa vyuoni mwizi hudhani kila mtu mwizi.....</font></font></i><br />
<i><font face="lucida console"><font size="3">tusisahau chuo cha udom kimejengwa kwa juhudi za serikali ya ccm ili wale ambao walikuwa hawapati elimu ya juu sasa wapate kwa kuwepo chuo hichi....lakini pia wale ambao walihitajika lakini hatukuwa nao wapatikane hapa.....ukikosa shukrani wewe sio wote</font></font></i>