Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Mara baada ya uchaguzi wa serikali ya wanafunzi chuo cha CBE,ijumaa iliyopita,na rais kupatikana ambaye ni mwanachadema,Naape amekuwa akichochea na kuivuruga serikali chuoni hapo,kwa lengo kuhakikisha kuwa Spika anakuwa mwanaccm
Kwenye uchaguzi wa rais uliofanyika Ijumaa iliyopita ulishuhudia matumizi makubwa,ya fedha kutoka kwa wanaccm,pamoja na hayo matumizi bado walipigwa chali,uchaguzi wa spika utafanyika ijumaa hii
Kwenye uchaguzi wa rais uliofanyika Ijumaa iliyopita ulishuhudia matumizi makubwa,ya fedha kutoka kwa wanaccm,pamoja na hayo matumizi bado walipigwa chali,uchaguzi wa spika utafanyika ijumaa hii