Napatwa na kichefuchefu kila wakati ila sina mimba wala Malaria!

SWEET GIRL

JF-Expert Member
Dec 29, 2011
520
377
Heshima mbele,
jamani toka jana nasikia kichefu chefu cha ajabu sana.najua wapo watakao sema ni mimba lakini sina mimba nina uhakika na pia malaria sina.sasa sijajua hichi kichefu chefu kinatokana na nini tafadhali naomba mnisaidie nile nini kipotee??? jana nilitumia ndimu lakini bado nakisikia.kinanipa shida kweli.naombeni msaada.
 
Heshima mbele,
jamani toka jana nasikia kichefu chefu cha ajabu sana.najua wapo watakao sema ni mimba lakini sina mimba nina uhakika na pia malaria sina.sasa sijajua hichi kichefu chefu kinatokana na nini tafadhali naomba mnisaidie nile nini kipotee??? jana nilitumia ndimu lakini bado nakisikia.kinanipa shida kweli.naombeni msaada.

Una uhakika gani huna kama hujapima?
Nenda kapime yawezekana ni mimba changa
 
kichefuchefu siku mbili? nenda ukamuone doctor aisee. mkesha wa sikukuu ya christmas ulifanyanini?. kwa kukusaidia huduma ya kwanza fanya hivi; Nusa kikwapa chako kama mala 5 hivi.yaani weka mkono kwapani halafu uwe unaunusa. ukivuta kama mala 5 hiyo hali itaisha. hii dawa nilipewa na bibi. huwa natumia kila nisikiapo kichefuchefu na kinaisha. Mia
 
kichefuchefu siku mbili? nenda ukamuone doctor aisee. mkesha wa sikukuu ya christmas ulifanyanini?. kwa kukusaidia huduma ya kwanza fanya hivi; Nusa kikwapa chako kama mala 5 hivi.yaani weka mkono kwapani halafu uwe unaunusa. ukivuta kama mala 5 hiyo hali itaisha. hii dawa nilipewa na bibi. huwa natumia kila nisikiapo kichefuchefu na kinaisha. Mia
mmh! MIA!!!
 
Inabidi ufungue huduma aisee! Akitoka MziziMkavu unakamata #2,lol
kichefuchefu siku mbili? nenda ukamuone doctor aisee. mkesha wa sikukuu ya christmas ulifanyanini?. kwa kukusaidia huduma ya kwanza fanya hivi; Nusa kikwapa chako kama mala 5 hivi.yaani weka mkono kwapani halafu uwe unaunusa. ukivuta kama mala 5 hiyo hali itaisha. hii dawa nilipewa na bibi. huwa natumia kila nisikiapo kichefuchefu na kinaisha. Mia
 
JF kuna watu wa ajabu!!!wanalazimisha kama nina mimba wakati mimi mwenyewe najijua sina.me nilihitaji daktari aliyepo humu JF aniambie ni kitu gani hasa kinanisibu kwa dalili hizi
 
Ulikula nini kabla hujaanza kusikia kichefuchefu?

jana nakumbuka asubuhi nilikula chapati,kitumbua na chai.mchana nilipata chipsi na kakuku kidogo plus mboga ya kunde.baada ya hapo ndo nilianza kusikia kichefu chefu.
 
Inategemea umri wako na kama unakunywa vileo au la. Ila kuna watu hupata kichefuchefu ama baada tu ya kula (hasa vyakula vyenye maji maji kama supu) au akikaa muda mrefu bila kula.

Fanya yafuatayo huenda ikakusaidia:

  1. [*=1]Usiwe unakula chakula cha moto na cha baridi wakati mmoja (kwa mfano pilau ya moto na kachumbari/soda baridi).
    [*=1]Kunywa green tea na kula ndizi mbivu asubuhi.
    [*=1]Kama unakunywa pombe, well punguza matumizi yake.
 
Inategemea umri wako na kama unakunywa vileo au la. Ila kuna watu hupata kichefuchefu ama baada tu ya kula (hasa vyakula vyenye maji maji kama supu) au akikaa muda mrefu bila kula.

Fanya yafuatayo huenda ikakusaidia:

  1. [*=1]Usiwe unakula chakula cha moto na cha baridi wakati mmoja (kwa mfano pilau ya moto na kachumbari/soda baridi).
    [*=1]Kunywa green tea na kula ndizi mbivu asubuhi.
    [*=1]Kama unakunywa pombe, well punguza matumizi yake.
pombe situmii na kula yangu ni asubuhi na mchana tu usiku mara nyingi nakunywa plain tea,au matunda na sometimes soda tu
 
currently situmii dawa yoyote ile
Nunua dawa inayoitwa nosic tablet huwasaidia wakina mama wajawazito wanapokuwa wanasikia kichefuchefu na kutapika ni combination ya doxylamine succinate 10mg na pyridoxine hcl 10mg.

Ukiendelea kutapika mwone daktari.
 
JF kuna watu wa ajabu!!!wanalazimisha kama nina mimba wakati mimi mwenyewe najijua sina.me nilihitaji daktari aliyepo humu JF aniambie ni kitu gani hasa kinanisibu kwa dalili hizi


Sweet mbona mgumu kuelewa? Unasema huna mimba ulipima? Na kama ulipima kitu gani kilichokufanya ukapime mimba? Njia za kupata mimba unazijua zote?,je unaviamini hvyo vifaa ulivyotumia? Usiwe mbishi kapime mimba wewe
 
Punguza kula vitu vyenye mafuta mengi, sukari nyingi kwa ufupi vitu vitamu kwako siyo vizuri. Fanya mazoezi hiyo hali itaisha. Dawa ya haraka haraka kupunguza hiyo hali nusa kikwapa chako kama mdau (MIA) alivyosema hapo.
 
kanunue phenergan vidonge au metoclopromide vidonge mojawapo ya hizi dawa itakusaidia,vinginevyo sababu za kusababisha kutapika ziko nyingi mfano infection kwenye tumbo nk.yafaa kwenda hosp.ukienda watapima na kubaini chanzo.
 
Back
Top Bottom