SWEET GIRL
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 520
- 377
Heshima mbele,
jamani toka jana nasikia kichefu chefu cha ajabu sana.najua wapo watakao sema ni mimba lakini sina mimba nina uhakika na pia malaria sina.sasa sijajua hichi kichefu chefu kinatokana na nini tafadhali naomba mnisaidie nile nini kipotee??? jana nilitumia ndimu lakini bado nakisikia.kinanipa shida kweli.naombeni msaada.
jamani toka jana nasikia kichefu chefu cha ajabu sana.najua wapo watakao sema ni mimba lakini sina mimba nina uhakika na pia malaria sina.sasa sijajua hichi kichefu chefu kinatokana na nini tafadhali naomba mnisaidie nile nini kipotee??? jana nilitumia ndimu lakini bado nakisikia.kinanipa shida kweli.naombeni msaada.