Umemsoma vizuri sana....lol!!Excuse my curiosity,but
Are you a Luo or Haya by any chance?
Ukinijibu nitarudi na ushauri
Umemsoma vizuri sana....lol!!
Braza umetaja mmpaka mshahara unaolipwa? Haya kina dada bahati hiyoooo inapita, jimwageni,si yetu macho tu.
Excuse my curiosity,but
Are you a Luo or Haya by any chance?
Ukinijibu nitarudi na ushauri
Amesema wa fesibuku hataki kwahiyo nachukulia hata hapa anaogopa...unless anatumia janja ya kutangaza mshahara kuwakamata wadada wa JF wanaopenda mtu wa aina yake!Si humuhumu unasocialize kaka mkatakiu? Au dada lizzy hulifahamu hilo?natumaini utawapata humuhumu tuuu!
babu unajua sisi wenye hayo makabila tunajuana.ukikutana na babu kabla ya salamu unamuonyesha car keysDaughter wewe ni nouma!!
hahahahahaha...
babu unajua sisi wenye hayo makabila tunajuana.ukikutana na babu kabla ya salamu unamuonyesha car keys
Hakuna kazi isiyokuwa na "off". Jenga mazoea ya kujichanganya na watu hata kama siyo wa Class yako. Matembezi ya karibu usitumie gari. Jizoeshi kwenda ibada na hata kujitolea kwa kazi za kanisa ili kujichanganya.
Haswaaa kwenye nyumba za ibada! bro lakini japokuwa ulipokuwa masomoni uliweka mambo ya mapenzi kando,haukuwa na marafiki wasichana wa kawaida tu ambapo sasa hivi unaweza kumfikiria mmojawapo awe mtarajiwa?
Ajenge mazoea ya kujichanganya na kama ni mkristu inabidi ajiunge na kwaya hata kama hawezi kuimba maana huko ni rahisi kupata huyo mtarajiwaHakuna kazi isiyokuwa na "off". Jenga mazoea ya kujichanganya na watu hata kama siyo wa Class yako. Matembezi ya karibu usitumie gari. Jizoeshi kwenda ibada na hata kujitolea kwa kazi za kanisa ili kujichanganya.
Ukishindwa hayo yote, wazazi wako watakutafutia mke kwenye watu wa class yake.
baasi babu sirudii tena.ngoja nisepdAisee daughter unaonaje ukizionea huruma mbavu zangu?
Nimecheka mpaka laputopu yangu inanishangaa.........:bange::bange:
Ukiachia kingine babu atakuja kukuchapa LOL