ismase
Senior Member
- Feb 12, 2010
- 116
- 16
Ndugu wana JF, Kuna nyumba yangu ipo kimara kilungule karibu na uwanjani. unaweza kushukia korogwe au kimara mwisho ukipenda. nyumba ina vyumba vitatu, sitting room, choo na bafu, na jiko. nyumba iko kwenye hali nzuri inavutia. kwa wanaohitaji wawasiliane na ndugu yangu ambaye yupo hapo jirani kupitia simu ya kiganjani 0784514245. Bei ni Tsh 150,000 kwa mwezi na unaweza kulipa kwa miezi sita au mwaka. karibuni.