wadau ninapangisha nyumba zangu kwa watu wanao hitaji zipo majohe kichangani (ilala) zina bed room 2, sitting room 1, kitchen, bafu na choo, kila 1 ina luku yake na maji yapo nimechimba kisima kirefu
n;b 200,000 tsh kwa mwezi
Pugu walipopelekwa waathirika wa kipunguni nahisi na hutyu ni mmoja wapo akarekebisha fasta sasa anatafuta hanga mwenzake...mbele ya pugu kajungeni kama sijakosea
tatizo mnakaa musoma au bukoba ndio maana hamjui, majohe ipo kabla ya hao wahanga wenu, majohe ni kabla ya pugu ,upande wa kulia , kama kuwasaidia hata mtoto wa mkulima ni mkazi wa mitaa hii acheni zarau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.