Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Hii hoja ina nguvu sana, haiwezekani bilion 90, zisionekane kwenye report yoyote! Huu ni wizi wa hali ya juu.
N amapat yatokanayo yanaenda wapi? ikiwa mishahara ya madaktari inatoka serikalini, na peza nyingine juu? Huoni hapo ndio mgogoro unapoanzia? Wakati serikali ina hospital zake na zinakosa vifaa vya msingi huku ikipeleka bilion 90 kwenye Kanisa!!!!! Tena AIBU hakuna ukaguzi wala mirejesho?
Kama kweli unaogopa DAMU isimwagike Jaribu kuueleza Umma au JAMII ukweli bila CHUKI na BILA kueneza UONGO na
Kuhamasisha Gharika kati watu. Bugando na KCMC pamoja na kuwa zimerudishwa kwa Makanisa Serikali bado ina
Asilimia yake kutokana na Makubaliano yao ya kurudishwa serikali ilitaka kuwa Mgojwa yoyote atakayepelekwa
Kwenye hospitali hizo lazima atibiwe bila Ubaguzi. Na hizo Hospitali pia zina Vyuo vya Udaktari ambavyo serikali
Inavitumia kupata wataalamu awake; wanaochaguliwa kujiunga na vyuo hivyo wanachaguliwa na serikali na
Sio DINI za hizo Hospitali. Mishahara ya Madaktari kwenye hizo hospitali zinafuata Mishahara ya Serikali na
Sio Mishahara ya Makampuni Binafsi, Wanalipwa sawa kama vile Muhimbili.
Na kwanini unazichagua Bugando na KCMC wakati Viongozi wote walioanzisha huo Mgomo wako Dar????
Na kama ni Bugando na KCMC kwanini Basi Madaktari Waislamu wasiende kufanya kazi????
Acha kuleta FITINA ZA UDINI ILI KUMWAGA DAMU, kama unapenda HARUFU YA DAMU YA MWANADAMU NENDA
SOMALIA ( Ni Nzito Inanuka, hauwezi kuinywa kama ya Ng'ombe na Ukiua Mwanadamu ni Dhambi kwa Mwenyezi
Mungu)
We malaria isiyopona, huna muda mrefu utakula ban. We endeleza udini tuhzi za MOU ZINATOLEWA FULL. LKN MKAGUZI ANAOGOPAM KUTIA MDOMO WAKE. SASA WATZ WANAKUFA KWA MADAKTARI
N amapat yatokanayo yanaenda wapi? ikiwa mishahara ya madaktari inatoka serikalini, na peza nyingine juu? Huoni hapo ndio mgogoro unapoanzia? Wakati serikali ina hospital zake na zinakosa vifaa vya msingi huku ikipeleka bilion 90 kwenye Kanisa!!!!! Tena AIBU hakuna ukaguzi wala mirejesho?
Hii hoja ina nguvu sana, haiwezekani bilion 90, zisionekane kwenye report yoyote! Huu ni wizi wa hali ya juu.
Serikali unajuaje hizo Hospitali Mbili hazikaguliwi? kwasababu serikali bado ina hisa kutokana na Makubaliano na hayo
Makanisa. Hizo ni Hospitali za Rufaa mpaka hapo Serikali itakapo jenga zake bado zinafuata Masharti ya Serikali
Mkuu wangu report za matumizi ya serikali ziko wazi jabisa sio siri siku hizi, Niambie BILION 90 zinazoenda makanisani umeziona katika report gani? Hukumbuki wachungaji walipoijia juu serikali ilipotaka kutengeneza utaratibu wa kukagua mashirika ya kidini? Mkuu wangu hawa watu pamoja na kuwaheshimu hawaaminiki na ndio maana wanabaka (mfano ni yule padri aliyembaka mtoto pale mlimani akakamatwa kwenye karibu na benk ya NBC).
Mkuu kumbuka hawa watu ndio wanauza unga (mifabo ipo wazi), pia wana matumizi ya kifahali sana, ukitaka kuamini haya angalia kesi ya majambazi kupora mapadri na viongozi wa dini zimeongezeka sana (soma gazeti la habari leo la juzi), Mkuu wangu la mwisho ni askofu wa jimbo moja mkowa wa morogoro anaogopa hata kutumia gari lake la kifahari VX8 ambalo kaliingiza kifahari kwa kuhofia majambazi. Niliwahi kuhoji kiongozi wa kiroho kutumia gari la kifahari namna ile, wadau wakasema hajanunua kapata msaada, lakini nilipouliza je anapata msaada kuliendesha sikupata majibu!
Mbona kanisa ilipewa MoU kabla ya kujenga hata hospitali moja??
Niambie chuo na hospitali ya kanisa kabla ya 1992??
Mabilioni ya umma kuendeleza miradi ya kanisa??
Besides waislamu wakienda kutibiwa wanalipa pesa zao mkuu tena nyingi kupita hospitali za serikali??
HUDUMA YA KULIPIA PAMOJA NA RUZUKU YA BURE?? =EPA
Sasa mkuu ulitaka hizo Billion 90 zipelekwe uhamsho kwa ajili ya maandalizi ya mihadhara na shuhuli?
Mbona kanisa ilipewa MoU kabla ya kujenga hata hospitali moja??
Niambie chuo na hospitali ya kanisa kabla ya 1992??
Mabilioni ya umma kuendeleza miradi ya kanisa??
Besides waislamu wakienda kutibiwa wanalipa pesa zao mkuu tena nyingi kupita hospitali za serikali??
HUDUMA YA KULIPIA PAMOJA NA RUZUKU YA BURE?? =EPA
JK alikliri wazi kwamba makanisa uanatengewa mabiluion ya shillingi ya serakali kwa ajili ya kutoa hoduma. hizi ni pesa nje ya bajeti ya serekali. Kwa bahati mbaya wabunge wengi huzungumzia maendleo mabovu ya sekta ya Afya bila ya kuzitaja mabilion haya ya Umma ya walipa kodi wa kitz
lkn *kinachoshangaza hakuna udhibiti wa ukaguzi wa mapesa haya ya umma. Mkaguzi mkuu wa serekali hajawahi kutoa ripoti ya ufisadi unaofanywa kupitia Ufisadi wa miradi hii. Hospital za makanisa nazo zinagoma huku serekali ya CCM ikitoa ruzuku ya mabillion ya shillingi haya + bajeti ya wizara ya afya nayo ikiangukia huko huko BUGANDO na KMC. lkn nao wanagoma
Hizi pesa zingalitumika ipasavyo, migomo kama hii kamwe isingetokea kak taifa letu.
hapa ni wazi makanisa na serekali inatuhadaa watz.
kuzuia madktari wa BUGANDO kugomaSasa mkuu ulitaka hizo Billion 90 zipelekwe uhamsho kwa ajili ya maandalizi ya mihadhara na shuhuli?
JK alikliri wazi kwamba makanisa uanatengewa mabiluion ya shillingi ya serakali kwa ajili ya kutoa hoduma. hizi ni pesa nje ya bajeti ya serekali. Kwa bahati mbaya wabunge wengi huzungumzia maendleo mabovu ya sekta ya Afya bila ya kuzitaja mabilion haya ya Umma ya walipa kodi wa kitz
lkn *kinachoshangaza hakuna udhibiti wa ukaguzi wa mapesa haya ya umma. Mkaguzi mkuu wa serekali hajawahi kutoa ripoti ya ufisadi unaofanywa kupitia Ufisadi wa miradi hii. Hospital za makanisa nazo zinagoma huku serekali ya CCM ikitoa ruzuku ya mabillion ya shillingi haya + bajeti ya wizara ya afya nayo ikiangukia huko huko BUGANDO na KMC. lkn nao wanagoma
Hizi pesa zingalitumika ipasavyo, migomo kama hii kamwe isingetokea kak taifa letu.
hapa ni wazi makanisa na serekali inatuhadaa watz.
Jengeni Hospitali za Waislamu, sio kujenga misikiti na madrasa tu.
Wekeeni kaika huduma za jamii ili na myie mpate hizo pesa unazosema. Na sio kutegemea Makanisa yajenge Huduma za jamii kisha ulete mdomo mrefu hapa.
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
suruali fupi fupi akili fupi fupi ndevu na majini Islam ni ugonjwa