Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Kwa anayehitaji binti mrembo,msomi na mcheshi awasiliane nami haraka.yupo mmoja tu.
Sifa za muoaji:asiwe mbaguzi wa aina yoyote eg dini,kabila etc
Shaycas, unatuabisha! Bado una yale ya miaka ya 47 ya kuwatafutia mabinti waume wa kuwaoa?! Kwa nini huyo binti yako asitangaze mwenyewe kuwa anatafuta mwanaume wa kuoana naye na akaweka hapa sifa anazotaka huyo mume mtarajiwa awe nazo?