Mkuu kwani hujui maana ya neno "boflo"?Midude kama hiyo imekuweka kati na unapata usingizi na ndoto juu, ..........................duh kumbe watu wana tofauti?
lazima awe kaota maruwe ruwe na mang'amung'amuSoo sweet, huyu aliyevaa nguo nyeusi katikati amefunika angeonyesha na sura ingekuwa picha limekamilika..Hapo sijui ndoto itakuwa ya namna gani..