KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Naweza ipata wapi, make nimetafuta nimekosa.Tumia visine
Naweza ipata wapi, make nimetafuta nimekosa.Tumia visine
Hivi huyu Mwali yupo kweli siku hizi mkuu?Naweza ipata wapi hii @Mwali make nimeitafuta sana.
Hivi huyu Mwali yupo kweli siku hizi mkuu?
naomba msaada wana jf mimi situmii kilevi chochote wala sigara lakini macho yangu huwa na rangi nyekundu .imefikia paka naonekana kama mvuta bangi, je naweza kutumia daw gani il yaweze kuwa na hali ya kawaida?
Nawatakia heri ya mwaka mpya.
naomba msaada wana jf mimi situmii kilevi chochote wala sigara lakini macho yangu huwa na rangi nyekundu .imefikia paka naonekana kama mvuta bangi, je naweza kutumia daw gani il yaweze kuwa na hali ya kawaida?
Nawatakia heri ya mwaka mpya.
Sina uhakika.Ina mana amechenji ID?