Kila anaye soma hilo neno hapo anapata shida kuelewa kwanini muandishi ameandika maneno hayo hapo juu, ila kwa mwenye macho ya ndani atagunduwa taifa hili bendera yake ktk macho yakawaida inaonekana kawaida ila ktk macho ya ndani taifa lipo bendera nusu mlingoti, nilazima viongoz wa taifa hili tangu Rais mpaka kiongoz wakijiji wajuwe yupo Mungu na yakuwa hatokuwa kiongoz wa milele kwa watanzania.
Viongoz hawa tulio wachaguwa kwa kura zetu watanzania wametugeuka na kuwa vibaraka wa watu wachache wakat watanzania mamilion wakihangaika nakuteseka hata hawajuw watakula nini? Hawajuwi watavaa nini? Hawajui watapata wapi madawa na nyumba zao ni za udongo tangu nyakati ya mkoloni.
Viongoz wa taifa hili wametia sahihi kwenye mikataba kwa kufumba macho na leo hii wapo watanzania kwa malak wanahama hama ktk taifa lao, elimu bora imetolewa kwa walio nacho na wasio nacho wanakalia mavumbi nakuandika ktk udongo. Ajira nazo nzuri kwa watoto wa vigogo hata kama hawawezi ila ajira wanazo wakati wapo watoto wawakulima wenye uwezo mkubwa wanakuwa makarani.
Haki hakuna, kesi ya tajiri inahukumiwa kwa kupindisha sheria, masikini hata akiiba kuku kwa umasikin wake anafungwa miaka 17, anayeiba ma bilion anakula bata mtaani.
Bendera ipo nusu mlingoti na chochote cha weza kutokea ili Mungu kuonyesha hasira zake juu ya viongoz wabadhirifu sio jeshi, vifaru, ndege za kivita zitamzuwia Mungu kuja kufanya mabadiliko ktk serikali ya Tanzania, ni lazima serikal ijuwe hakuna siri ktk Mungu huyu ambaye ni Mungu wa wote wenye mwili tajiri na masikini.
Huu ni wakati Rais kuchukua na kufanya maamuz magumu kuokoa kizazi hiki na serikali ijayo, hatuna budi watanzania kujiweka tayari for any change to come, hakuna litakaloshindikana as long as watanzania tutasimama as 1 kusema ukwel na kufanya kaz kwa bidii.
Mungu ibariki Tanzania Mungu wabarik wa Tanzania.
Amen!
Viongoz hawa tulio wachaguwa kwa kura zetu watanzania wametugeuka na kuwa vibaraka wa watu wachache wakat watanzania mamilion wakihangaika nakuteseka hata hawajuw watakula nini? Hawajuwi watavaa nini? Hawajui watapata wapi madawa na nyumba zao ni za udongo tangu nyakati ya mkoloni.
Viongoz wa taifa hili wametia sahihi kwenye mikataba kwa kufumba macho na leo hii wapo watanzania kwa malak wanahama hama ktk taifa lao, elimu bora imetolewa kwa walio nacho na wasio nacho wanakalia mavumbi nakuandika ktk udongo. Ajira nazo nzuri kwa watoto wa vigogo hata kama hawawezi ila ajira wanazo wakati wapo watoto wawakulima wenye uwezo mkubwa wanakuwa makarani.
Haki hakuna, kesi ya tajiri inahukumiwa kwa kupindisha sheria, masikini hata akiiba kuku kwa umasikin wake anafungwa miaka 17, anayeiba ma bilion anakula bata mtaani.
Bendera ipo nusu mlingoti na chochote cha weza kutokea ili Mungu kuonyesha hasira zake juu ya viongoz wabadhirifu sio jeshi, vifaru, ndege za kivita zitamzuwia Mungu kuja kufanya mabadiliko ktk serikali ya Tanzania, ni lazima serikal ijuwe hakuna siri ktk Mungu huyu ambaye ni Mungu wa wote wenye mwili tajiri na masikini.
Huu ni wakati Rais kuchukua na kufanya maamuz magumu kuokoa kizazi hiki na serikali ijayo, hatuna budi watanzania kujiweka tayari for any change to come, hakuna litakaloshindikana as long as watanzania tutasimama as 1 kusema ukwel na kufanya kaz kwa bidii.
Mungu ibariki Tanzania Mungu wabarik wa Tanzania.
Amen!