Naona BORA TUACHANE MAANA NAHISI NAKUBOA...

Tugutuke

JF-Expert Member
Apr 21, 2011
501
165
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nina rafiki yangu wa kiume,mshikaji wangu sana anasema ana demu ila hamuelewi elewi. Story kwa kifupi iko hivi.. Demu anafanya kazi yake kwenye maeneo ambayo yanawahusisha sana wanaume yaani Restaurant & Bar. Sasa mshikaji anadai wanapendana na huyo demu ila demu ana mambo mengi ambayo huyu jamaa hayakai sawa kwake. Mfano,demu akiwa job kwake mara ashikwe shikwe,mara apewe ofa za kunywa bia akinunuliwa na wateja wake,anatongozwa mara kwa mara. Sasa jamaa anasema kila akijaribu kumuelimisha demu wake namna ya kuwa mstaarabu anaambulia majibu haya toka kwa demu wake "sikia,hapa nipo kazini unajua,na mimi ni mwanamke natakiwa niongee na watu vizuri ili nifanye kazi yangu vizuri. Hata nikitongozwa we usiwe na noma coz siwezi kuwakubalia wote na niko kazini,na please ukiona napewa ofa na wanaume wenzio usilete mambo ya wivu hapa,naomba utulie! Sawa? Au bora tuachane maana nahisi nakuboa sana japo nakupenda".
Sasa huyu bro anasema kauli hiyo ilimboa sana,zaidi ni pale kila mara demu anapomwomba aachane naye kwa kisingizio cha kuwa anahisi anamboa bwana'ke. Sasa je,hapa kuna mapenzi ya dhati kweli? Na huyu bro afanyeje ili kukabili hali hiyo,na kwani demu hawezi kujiheshimu na kazi ikaendelea kama kawa yaani wateja wakaja vile vile? Ushauri na maoni yenu wadau ni muhimu sana. Jamaa atapita hapa ntamwonesha kilichojiri na ili afanya maamuzi ya busara.
Kwenu wadau.
 
Kama uwezo anao na anampenda amuweke nyumbani amlipe mshahara sidhani Kama atakua analipwa zaidi ya laki kwa mwezi.na asisahau kua kunguru hafugiki......
 
Hili ni tatizo lingine la kulelewa...nahisi donation kubwa ya bugdet pale home inaletwa na dem..let her do her job!! AAche wivu bana!!
 
Lol! Akamsemelezee kwa mamake. Kuuza bar tu ndo hadi ashikwe? Mbona @Aspirin anatoaga ofa za bia bila kushika shika?
 
Hili ni tatizo lingine la kulelewa...nahisi donation kubwa ya bugdet pale home inaletwa na dem..let her do her job!! AAche wivu bana!!

SINZIGA,ninavokwambia huyu jamaa naishi naye nyumba moja it means tumepanga kila mtu geto lake! Speaking of donation.. Sidhani,na naambiwa kuwa hata huyu jamaa akienda pale kunywa bia analipia hata chakula analipia. Hataki kubebwa bebwa na demu. Anamushemu naona,[sio kwamba namtetea,ni kwa mjibu wake]
 
huyo jamaa ako naona kazi ya kusokota mpini haimudu vizuri ndo maana anadharaulika...mwambie ajifunze sio kila kitu tunazaliwa tunajua...
 
huyo jamaa ako naona kazi ya "kusokota mpini" haimudu vizuri ndo maana anadharaulika...mwambie ajifunze sio kila kitu tunazaliwa tunajua...

hapo siwezi kumsemea aisee! Ila je ndo sababu kubwa?
 
Wanawake wengi wanaofanya kazi katika maeneo hayo wapo hivyo,huyo friend wako anatakiwa achague moja kati ya kuizoea hiyo tabia au kutafuta ustaarabu mwingine,unless otherwise asitegemee huyo mwanamke atabadilika cause ndo tabia yao..
 
Mshauri jamaa ako amtafutie huyo demu kazi
tofauti na kuuza bar, kwani nijuavyo mimi kwa mazingira ya bar ......mh..
ni chakula ya watu....
 
kazi ndo inamruhusu kufanya hayo kwa sababu walevi wakishapata moja moto akili inaruka na yeye pale ndipo anapata pa kuchuna,sasa kama kakangu we hupendi hiyo tabia mara mia utafute mahali pengine pa kushika coz umemkuta anafanya hiyo kazi na ameshaizoea umemwelimisha hasikii wa mbili havai moja siku zote zaidi sana unatafuta maradhi,think twice fanya maamuzi ya busara wanawake ni wengi.
 
Maelezo ya dada yalikua sahihi kosa tu ni kusema bora tuachane! Mwambie mshikaji wako aanze kutafuta replacemnt kabla aache kabla hajaachwa kwa majonzi makubwa! Huyo anapenda vya pembeni atamsumbua sana.
 
Sasa huyo jamaa yako anategemea gari la kibuku liwe na harufu ya chungwa?
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nina rafiki yangu wa kiume,mshikaji wangu sana anasema ana demu ila hamuelewi elewi. Story kwa kifupi iko hivi.. Demu anafanya kazi yake kwenye maeneo ambayo yanawahusisha sana wanaume yaani Restaurant & Bar. Sasa mshikaji anadai wanapendana na huyo demu ila demu ana mambo mengi ambayo huyu jamaa hayakai sawa kwake. Mfano,demu akiwa job kwake mara ashikwe shikwe,mara apewe ofa za kunywa bia akinunuliwa na wateja wake,anatongozwa mara kwa mara. Sasa jamaa anasema kila akijaribu kumuelimisha demu wake namna ya kuwa mstaarabu anaambulia majibu haya toka kwa demu wake "sikia,hapa nipo kazini unajua,na mimi ni mwanamke natakiwa niongee na watu vizuri ili nifanye kazi yangu vizuri. Hata nikitongozwa we usiwe na noma coz siwezi kuwakubalia wote na niko kazini,na please ukiona napewa ofa na wanaume wenzio usilete mambo ya wivu hapa,naomba utulie! Sawa? Au bora tuachane maana nahisi nakuboa sana japo nakupenda".
Sasa huyu bro anasema kauli hiyo ilimboa sana,zaidi ni pale kila mara demu anapomwomba aachane naye kwa kisingizio cha kuwa anahisi anamboa bwana'ke. Sasa je,hapa kuna mapenzi ya dhati kweli? Na huyu bro afanyeje ili kukabili hali hiyo,na kwani demu hawezi kujiheshimu na kazi ikaendelea kama kawa yaani wateja wakaja vile vile? Ushauri na maoni yenu wadau ni muhimu sana. Jamaa atapita hapa ntamwonesha kilichojiri na ili afanya maamuzi ya busara.
Kwenu wadau.

:smash: :smash: :smash:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom