Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nina rafiki yangu wa kiume,mshikaji wangu sana anasema ana demu ila hamuelewi elewi. Story kwa kifupi iko hivi.. Demu anafanya kazi yake kwenye maeneo ambayo yanawahusisha sana wanaume yaani Restaurant & Bar. Sasa mshikaji anadai wanapendana na huyo demu ila demu ana mambo mengi ambayo huyu jamaa hayakai sawa kwake. Mfano,demu akiwa job kwake mara ashikwe shikwe,mara apewe ofa za kunywa bia akinunuliwa na wateja wake,anatongozwa mara kwa mara. Sasa jamaa anasema kila akijaribu kumuelimisha demu wake namna ya kuwa mstaarabu anaambulia majibu haya toka kwa demu wake "sikia,hapa nipo kazini unajua,na mimi ni mwanamke natakiwa niongee na watu vizuri ili nifanye kazi yangu vizuri. Hata nikitongozwa we usiwe na noma coz siwezi kuwakubalia wote na niko kazini,na please ukiona napewa ofa na wanaume wenzio usilete mambo ya wivu hapa,naomba utulie! Sawa? Au bora tuachane maana nahisi nakuboa sana japo nakupenda".
Sasa huyu bro anasema kauli hiyo ilimboa sana,zaidi ni pale kila mara demu anapomwomba aachane naye kwa kisingizio cha kuwa anahisi anamboa bwana'ke. Sasa je,hapa kuna mapenzi ya dhati kweli? Na huyu bro afanyeje ili kukabili hali hiyo,na kwani demu hawezi kujiheshimu na kazi ikaendelea kama kawa yaani wateja wakaja vile vile? Ushauri na maoni yenu wadau ni muhimu sana. Jamaa atapita hapa ntamwonesha kilichojiri na ili afanya maamuzi ya busara.
Kwenu wadau.
Nina rafiki yangu wa kiume,mshikaji wangu sana anasema ana demu ila hamuelewi elewi. Story kwa kifupi iko hivi.. Demu anafanya kazi yake kwenye maeneo ambayo yanawahusisha sana wanaume yaani Restaurant & Bar. Sasa mshikaji anadai wanapendana na huyo demu ila demu ana mambo mengi ambayo huyu jamaa hayakai sawa kwake. Mfano,demu akiwa job kwake mara ashikwe shikwe,mara apewe ofa za kunywa bia akinunuliwa na wateja wake,anatongozwa mara kwa mara. Sasa jamaa anasema kila akijaribu kumuelimisha demu wake namna ya kuwa mstaarabu anaambulia majibu haya toka kwa demu wake "sikia,hapa nipo kazini unajua,na mimi ni mwanamke natakiwa niongee na watu vizuri ili nifanye kazi yangu vizuri. Hata nikitongozwa we usiwe na noma coz siwezi kuwakubalia wote na niko kazini,na please ukiona napewa ofa na wanaume wenzio usilete mambo ya wivu hapa,naomba utulie! Sawa? Au bora tuachane maana nahisi nakuboa sana japo nakupenda".
Sasa huyu bro anasema kauli hiyo ilimboa sana,zaidi ni pale kila mara demu anapomwomba aachane naye kwa kisingizio cha kuwa anahisi anamboa bwana'ke. Sasa je,hapa kuna mapenzi ya dhati kweli? Na huyu bro afanyeje ili kukabili hali hiyo,na kwani demu hawezi kujiheshimu na kazi ikaendelea kama kawa yaani wateja wakaja vile vile? Ushauri na maoni yenu wadau ni muhimu sana. Jamaa atapita hapa ntamwonesha kilichojiri na ili afanya maamuzi ya busara.
Kwenu wadau.