kisiringyo
Member
- Feb 9, 2012
- 89
- 31
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo ni tajiri sana duniani, ukitaja nchi 10 bora zilizo jaliwa rasilimali nyingi huwezi kuiacha tanzania baadhi ya raslimali tulizo nazo ni kama vile:
1.maziwa makuu na makubwa ambayo yangeweza kuondoa umaskini wa watanzania wengi kwa kilimo cha umwagiliaji, uvuvi na kupata maji safi na salama.
2.mlima mrefu kuliko yote barani afrika(kilimanjaro) ambao ni mrima mrefu dunia nzima wenye volkano na mingine mingi ambayo inavutia watalii.
3.mbuga nyingi za wanyama ikiwemo mbuga kubwa kuliko zote duniani(serengeti national park), mikumi, ngorongoro nk.
4.vivutio vingine vingi kama vile mapango ya handeni, chura wanao nyonyesha huko kihanzi, hot spring water, maporomoko makubwa ya maji nk.
5.nchi pekee barani afrika yenye madini ya aina nyingi kama vile almas, zahabu, na madini ambayo hayapatikani nchi nyingine yoyote duniani ila Tanzania.
6.Tanzania ni miongoni mwa nchi chache zenye mafuta ardhini lakini pia mungu ametujalia nchi yenye ardhi kubwa CHA AJABU SASA NIPALE NINAPOONA MIGOGORO YA ARDHI HAIISHI, WATANZANIA WANAISHI KWENYE WIMBI KUBWA LA UMASKINI, UCHUMI WA NCHI UMEDONDOKA, ONGEZEKO LA BEI YA VITU HATA VILE VINAVYOZALISHWA HAPA HAPA TANZANIA...!!!!!!! MPAKA NAONA AIBU KUISHI TANZANIA KWA SABABU HATA WAZUNGU WANATUSHANGAA.
1.maziwa makuu na makubwa ambayo yangeweza kuondoa umaskini wa watanzania wengi kwa kilimo cha umwagiliaji, uvuvi na kupata maji safi na salama.
2.mlima mrefu kuliko yote barani afrika(kilimanjaro) ambao ni mrima mrefu dunia nzima wenye volkano na mingine mingi ambayo inavutia watalii.
3.mbuga nyingi za wanyama ikiwemo mbuga kubwa kuliko zote duniani(serengeti national park), mikumi, ngorongoro nk.
4.vivutio vingine vingi kama vile mapango ya handeni, chura wanao nyonyesha huko kihanzi, hot spring water, maporomoko makubwa ya maji nk.
5.nchi pekee barani afrika yenye madini ya aina nyingi kama vile almas, zahabu, na madini ambayo hayapatikani nchi nyingine yoyote duniani ila Tanzania.
6.Tanzania ni miongoni mwa nchi chache zenye mafuta ardhini lakini pia mungu ametujalia nchi yenye ardhi kubwa CHA AJABU SASA NIPALE NINAPOONA MIGOGORO YA ARDHI HAIISHI, WATANZANIA WANAISHI KWENYE WIMBI KUBWA LA UMASKINI, UCHUMI WA NCHI UMEDONDOKA, ONGEZEKO LA BEI YA VITU HATA VILE VINAVYOZALISHWA HAPA HAPA TANZANIA...!!!!!!! MPAKA NAONA AIBU KUISHI TANZANIA KWA SABABU HATA WAZUNGU WANATUSHANGAA.