Hivyo vitu vinatakiwa wakati mwengine viachwe wazi ili vipumue jamani!! Kwa hiyo kijana anafurahia vikiingia hewa. Si watoto tu hata watu wazima inabidi jaapo usiku muache vipumue. Kule kwetu pwani wanalala na Msuli tu ili hewa iwe inaingia na kukitokea emergency basi anatoka na msuli.