sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
nyengo
ni kitu cha kawaida wala usiogope
mi mwanangu ni wa kike na ana umri kama wa mwanao nae huwa akifanya hivyo mara chache
ila yeye anashinda na chupi no nepi no pampers mpaka usiku
nilijaribu kuuliza wataalamu wakanambia si jambo baya ni kawaida kwa watoto wa umri huo
pia development stages za watoto hutofautiana,sio lazima wote wapitie stage moja.
hata mama mkwe nae huenda alipitia kwa wanae, so hakuna haja ya kuona haya.
ni kitu cha kawaida wala usiogope
mi mwanangu ni wa kike na ana umri kama wa mwanao nae huwa akifanya hivyo mara chache
ila yeye anashinda na chupi no nepi no pampers mpaka usiku
nilijaribu kuuliza wataalamu wakanambia si jambo baya ni kawaida kwa watoto wa umri huo
pia development stages za watoto hutofautiana,sio lazima wote wapitie stage moja.
hata mama mkwe nae huenda alipitia kwa wanae, so hakuna haja ya kuona haya.