Naombwa ndoa kwa nguvu

Wanajamii,

nakushukuruni sana kwa maoni yenu kwani kuna baadhi yamenifungua macho sana na baadhi yamenichanganya kabisa. Ukweli ni kwamba mimi malengo yangu ni kujiendeleza kitaaluma kwasasa. Mwenzangu yeye anasema anataka kuolewa MWAKA HUU HUU lakini pia yeye kitaaluma yeye amefanikiwa sana. Yeye anasema pia kwamba muda wake mwingi ulikua shuleni lakini pia nikijumuisha maelezo yake anasema kwamba alikua na mahusiano lakini hayakuwa na mafanikio. Aidha, kwa upande mwingine ni kwamba huyu dada ni mambo safi pia. Kiniacho nipa wasiwasi ni kwamba anasema yeye anataka kuolewa na anataka iwe mwaka huu huu, ukweli ni kwamba mimi mwaka huu siwezi kumuoa. Hata hivyo moyo naona umemuangukia kweli lakini kinachonisibu ni hio spidi anayotaka na haraka aliyonayo, inanifanya niogope kweli kweli.

Licha ya hayo suala linalokuja kichwani je ni sawa kuoa mwanamke mwenye miaka 30? Lakini pia huyu dada kwangu ni mkubwa wa umri kidogo kwa miezi kadhaa na usheehe hivi...! Swali ni je ni sawia kujitosa hapa wandugu...?

Ni sawa kuoa mwanamke mwenye miaka 30,au unaogopa kwavile amekupita miaka kidogo?Maana kupishana miezi kadhaa huwezi kusema mkubwa kwako,ni age mate!
Sasa wewe ndo unamfahamu na kumjua vizuri huyo binti,fuata moyo wako unavyokushauri. Na hivi umesema moyo wako umemwangukia pia,mweleze dhamira yako ya kujiendeleza kimasomo kwanza halafu muoane kumbuka mkioana au kuanza familia majukumu ni mengi pia na maisha yanabadilika(inategemea unataka ukasome wapi,mtakuwa pamoja au distance kidogo).

Huyo binti anaweza kuwa na wasiwasi maana ukimwambia asubiri, si unajua siku hizi hata uchumba huvunjika. Kifupi yupo tayari kwa ndoa maana kafanikiwa kama elimu anaona ni muda wa kuolewa na kuanza maisha ya ndoa wakati wewe bado unasita!

Muhimu ongea nae na umsikie mwenzio,unapokuwa na kitu moyoni ukamshirikisha anaweza kulipokea tofauti na wewe unavyomfikiria au mkapata wazo mbadala wote wawili. Kumbuka unapotaka kuoa ni uamuzi mkubwa unaufanya katika maisha yaani kuishi na mtu fulani na kuwa kitu kimoja katika hayo maisha. Haihitaji ukurupuke!

Kila la Kheri!..
 
Wanajamii,

nakushukuruni sana kwa maoni yenu kwani kuna baadhi yamenifungua macho sana na baadhi yamenichanganya kabisa. Ukweli ni kwamba mimi malengo yangu ni kujiendeleza kitaaluma kwasasa. Mwenzangu yeye anasema anataka kuolewa MWAKA HUU HUU lakini pia yeye kitaaluma yeye amefanikiwa sana. Yeye anasema pia kwamba muda wake mwingi ulikua shuleni lakini pia nikijumuisha maelezo yake anasema kwamba alikua na mahusiano lakini hayakuwa na mafanikio. Aidha, kwa upande mwingine ni kwamba huyu dada ni mambo safi pia. Kiniacho nipa wasiwasi ni kwamba anasema yeye anataka kuolewa na anataka iwe mwaka huu huu, ukweli ni kwamba mimi mwaka huu siwezi kumuoa. Hata hivyo moyo naona umemuangukia kweli lakini kinachonisibu ni hio spidi anayotaka na haraka aliyonayo, inanifanya niogope kweli kweli.

Licha ya hayo suala linalokuja kichwani je ni sawa kuoa mwanamke mwenye miaka 30? Lakini pia huyu dada kwangu ni mkubwa wa umri kidogo kwa miezi kadhaa na usheehe hivi...! Swali ni je ni sawia kujitosa hapa wandugu...?
Mwanamke mwenye miaka 30 bado anadai kabisa, wala sio mzee. Kumbuka age is nothing, is just a number. we kama umempenda unaweza kumuoa na bado unaweza kujiendeleza na masomo vizuri maana yy nadhani tayari kasoma na kazi anayo. Hilo swala la kwamba kakuzidi miezi is not a big deal. Mie nimewaona watu wengi wameolewa above 30 na wamezaa vizuri, watoto wazuri. Hivyo kaka kama umependa we chukua jumla. Ila tafadhali usije ukampotezea muda dada wa watu.
 
Mwanamke mwenye miaka 30 bado anadai kabisa, wala sio mzee. Kumbuka age is nothing, is just a number. we kama umempenda unaweza kumuoa na bado unaweza kujiendeleza na masomo vizuri maana yy nadhani tayari kasoma na kazi anayo. Hilo swala la kwamba kakuzidi miezi is not a big deal. Mie nimewaona watu wengi wameolewa above 30 na wamezaa vizuri, watoto wazuri. Hivyo kaka kama umependa we chukua jumla. Ila tafadhali usije ukampotezea muda dada wa watu.



Are you sure what you said??Kama hivyo basi mbona itakuwa raha sana na mimi sitofata age nikifikilia age nitakuwa nasema ni number tu asante sana kwa maelezo yako!!Hahahaha

Kwa nini anampotezea mda wakati umesema kwamba age ni number tu???Kama age ni number hawezi kumpotezea mda hata kidogo..
 
Last edited:
Wanajamii,

nakushukuruni sana kwa maoni yenu kwani kuna baadhi yamenifungua macho sana na baadhi yamenichanganya kabisa. Ukweli ni kwamba mimi malengo yangu ni kujiendeleza kitaaluma kwasasa. Mwenzangu yeye anasema anataka kuolewa MWAKA HUU HUU lakini pia yeye kitaaluma yeye amefanikiwa sana. Yeye anasema pia kwamba muda wake mwingi ulikua shuleni lakini pia nikijumuisha maelezo yake anasema kwamba alikua na mahusiano lakini hayakuwa na mafanikio. Aidha, kwa upande mwingine ni kwamba huyu dada ni mambo safi pia. Kiniacho nipa wasiwasi ni kwamba anasema yeye anataka kuolewa na anataka iwe mwaka huu huu, ukweli ni kwamba mimi mwaka huu siwezi kumuoa. Hata hivyo moyo naona umemuangukia kweli lakini kinachonisibu ni hio spidi anayotaka na haraka aliyonayo, inanifanya niogope kweli kweli.

Licha ya hayo suala linalokuja kichwani je ni sawa kuoa mwanamke mwenye miaka 30? Lakini pia huyu dada kwangu ni mkubwa wa umri kidogo kwa miezi kadhaa na usheehe hivi...! Swali ni je ni sawia kujitosa hapa wandugu...?

Chunga sana ndugu yangu hapo. Mwanamke anayekuja kwa gia ya kutaka kuolewa tu ni hatari, wenzio yalishatukuta. Huyo anayekuja hivyo shida yake ni kuolewa tu ili atimize malengo yake ya maisha, hajali ya kwako. Katika maisha yake anatamani atimize kuwa miongoni mwa aliyofanikiwa ni kuolewa kama wanawake wengine, ni kama kutimiza zile silabasi za shuleni. Huyu wa hivyo akishakamilisha hilo, atasisitiza kuzaa (tena zile mimba za bandika-bandua, fastafasta), akishafanikiwa amemaliza kazi na wewe, ndio utamjua rangi zake! Hawanaga mapenzi hata chembe hao wa hivyo, utaishia frustration hadi basi. Kama ulikuwa unawashangaa wanaume wenye ndoa zao lakini wana vimada au nyumba ndogo utaishia kujishangaa mwenyewe maana utaanza kuwatafuta hao vimada wakuliwaze!

Ndoa nzuri ni ile inayoanza na mapenzi, yaani wahusika wanapendana kwanza na wanaona njia muafaka ya kuwekeana uhakika kwenye mapenzi yao ni ndoa. Ni mapenzi yanaleta ndoa, siyo ndoa ilete mapenzi utaumia ndugu yangu. Unaweza kuoa mke halafu ukagundua baadae kuwa hakupendi, na hata mwanzo alikuwa hakupendi alikuwa anataka tu kuondoka kwenye status ya 'single' na kuwa 'married' ili kuondokana na unung'ayembe. Lakini nung'ayembe ni nung'ayembe tu, hata likipata cheti cha ndoa na kuvalishwa pete na harusi kubwa linaficha makucha kwa muda, likishapata linachohitaji utajuuuuuta kulifaham!
 
Wanajamii,

nakushukuruni sana kwa maoni yenu kwani kuna baadhi yamenifungua macho sana na baadhi yamenichanganya kabisa. Ukweli ni kwamba mimi malengo yangu ni kujiendeleza kitaaluma kwasasa. Mwenzangu yeye anasema anataka kuolewa MWAKA HUU HUU lakini pia yeye kitaaluma yeye amefanikiwa sana. Yeye anasema pia kwamba muda wake mwingi ulikua shuleni lakini pia nikijumuisha maelezo yake anasema kwamba alikua na mahusiano lakini hayakuwa na mafanikio. Aidha, kwa upande mwingine ni kwamba huyu dada ni mambo safi pia. Kiniacho nipa wasiwasi ni kwamba anasema yeye anataka kuolewa na anataka iwe mwaka huu huu, ukweli ni kwamba mimi mwaka huu siwezi kumuoa. Hata hivyo moyo naona umemuangukia kweli lakini kinachonisibu ni hio spidi anayotaka na haraka aliyonayo, inanifanya niogope kweli kweli.

Licha ya hayo suala linalokuja kichwani je ni sawa kuoa mwanamke mwenye miaka 30? Lakini pia huyu dada kwangu ni mkubwa wa umri kidogo kwa miezi kadhaa na usheehe hivi...! Swali ni je ni sawia kujitosa hapa wandugu...?

Miaka 30 au yeye kuwa mkubwa kwako kwa miezi kadhaa si kitu. Cha maana je, unampenda au mnapendana? Kama ni hivyo ongeeni tu bila ku'panic' mtaelewana. Take time to explore what both of you are.

Kwenye ndoa kuna mambo mengi ya kuogopesha na siyo hayo unayosema. Unayosema yanahitaji kushauriana tu, siyo deal kubwa. Kikubwa ni wewe na yeye kuishi pamoja kama mme na mke. Pia ukiomba ushauri kwa Wanajamii kuwa mwangalifu sana.

Wengine ushauri wanaoutoa ni mzaha tu na hawatakuwa wamekusaidia sana. Watu wengine ni 'big babies' au 'gown up babies' na hivyo ushauri wao unaendana na jinsi walivyo.

Ushauri maana yake siyo sisi tukupe majibu nini ufanye bali ni kuweka mezani vitu ambavyo vinakuchanganya ili tuvichanganue na kukuachia wewe mwenyewe ili uweze kuona vizuri na kuchagua kipi kinakufaa. Kwa hiyo, mwisho wa siku ni wewe mwenye kufanya uamuzi na siyo sisi kuamua ni kitu gani kinakufaa.
 
Mwanamke mwenye miaka 30 bado anadai kabisa, wala sio mzee. Kumbuka age is nothing, is just a number. we kama umempenda unaweza kumuoa na bado unaweza kujiendeleza na masomo vizuri maana yy nadhani tayari kasoma na kazi anayo. Hilo swala la kwamba kakuzidi miezi is not a big deal. Mie nimewaona watu wengi wameolewa above 30 na wamezaa vizuri, watoto wazuri. Hivyo kaka kama umependa we chukua jumla. Ila tafadhali usije ukampotezea muda dada wa watu.


Mpenzi Pretty!

Kuna menopause, na umri wa mwanamke unavyongezeka fertility and fecundity hupungua sana....kama unataka kuowa mtu wa kupiga mikasi tu then you argument age aint nothing but numbers uko sahihi! Binafsi napenda mdada umri ulienda kidogo maana serengeti Gals si wazoefu kwenye yale mambo yangu!!
 
Mkuu miaka 30 huyu akishusha single moja tu mtakimbiana.
Tafakali kwanza utaanza kumendea nyumba ndogo bure na siku hizi vitoto kibao vizuri vinazaliwa.
 
Mpenzi Pretty!

Kuna menopause, na umri wa mwanamke unavyongezeka fertility and fecundity hupungua sana....kama unataka kuowa mtu wa kupiga mikasi tu then you argument age aint nothing but numbers uko sahihi! Binafsi napenda mdada umri ulienda kidogo maana serengeti Gals si wazoefu kwenye yale mambo yangu!!

Siyo kweli. I know several ladies who married at that age and they have at least 5 children each. Kuzaa siyo automatic. Unaweza kuoa msichana wa miaka 19 au 20 na akazaa mtoto mmoja tu au asizae kabisa. Hivyo, si kweli kwamba miaka 30 mwanamke amechelewa sana kuolewa.
 
Dada unacheza wewe. Kwa BongoTZ kuolewa bado big deal. Jamaa mmoja anasema "Mwanamke asipokuwa na mume ni kazi bure. Chumvi ni chumvi na sugar ni sugar"

Mwanamke wa mawazo hayo anakuwa sana sana yuko kwenye hali moja kati ya hizi; 1) bado mdogo sana hajaanza mambo ya mahusiano na wanaume au 2) ameshindwa kupata mume au 3) ameachika ndoani.

Pamoja na hela, pamoja na kisomo, marejeo ni kwa mume tu!

Which planet are you in?
 
Siyo kweli. I know several ladies who married at that age and they have at least 5 children each. Kuzaa siyo automatic. Unaweza kuoa msichana wa miaka 19 au 20 na akazaa mtoto mmoja tu au asizae kabisa. Hivyo, si kweli kwamba miaka 30 mwanamke amechelewa sana kuolewa.

Kama utaamua kubishana na facts ni sawa! Literature inaonyesha umri wa mwanamke unavyoongezeka hasa baada ya 30s fertility hupungua sana! Ingawa hata mwanamke wa above 60s anaweza kuzaa najua wewe nimfatiliaji walijua hili..in vitro fertilisation wengine huita testube babies...Generally habari ndo hiyo fertility and age they are negatively correlated....kuwa mkweli mdada mwenye miaka 32 sirahisi kuzaa watoto 5....labda kama alipiga dublets
 
It is the same story with me,kuna mtu wangu alinilazimisha nikajitambulishe kwao,but nilimweleza kuwa lets prepare our self before that lakini akazidi kulazimisha,mwishowe akasema wazazi wake wamemtafutia mchumba msabato mwenzake,akasema ataolewa muda wowote but its about a year now sioni dalili za kuolewa wala uchumba,nikaja gundua kwamba hapendi kujitegemea mwenyewe anataka aolewe then akae ndani tu apike ndio maana nalazimisha ndoa
 
Mkuu miaka 30 huyu akishusha single moja tu mtakimbiana.
Tafakali kwanza utaanza kumendea nyumba ndogo bure na siku hizi vitoto kibao vizuri vinazaliwa.

......... Fidel you can say more than that!!

Si kweli kuwa wanawakimbiza bali ninyi wenyewe hamjui kutunza!. Tunza uone kama hujawa unamwona sweet 16 everyday.
 
It is the same story with me,kuna mtu wangu alinilazimisha nikajitambulishe kwao,but nilimweleza kuwa lets prepare our self before that lakini akazidi kulazimisha,mwishowe akasema wazazi wake wamemtafutia mchumba msabato mwenzake,akasema ataolewa muda wowote but its about a year now sioni dalili za kuolewa wala uchumba,nikaja gundua kwamba hapendi kujitegemea mwenyewe anataka aolewe then akae ndani tu apike ndio maana nalazimisha ndoa


Dah hii kwa maoni yangu, ndio post ya wiki..

Ama kweli duniani kuna mambo.
 
Kama utaamua kubishana na facts ni sawa! Literature inaonyesha umri wa mwanamke unavyoongezeka hasa baada ya 30s fertility hupungua sana! Ingawa hata mwanamke wa above 60s anaweza kuzaa najua wewe nimfatiliaji walijua hili..in vitro fertilisation wengine huita testube babies...Generally habari ndo hiyo fertility and age they are negatively correlated....kuwa mkweli mdada mwenye miaka 32 sirahisi kuzaa watoto 5....labda kama alipiga dublets

Wewe unachosema siyo FACTS bali THEORY. FACTS ni hizi ninazokupa. Kwani wote waliozaa (walio na watoto) ni wale tu walioolewa chini ya umri wa miaka 30? Ushauri nilioutoa kwa aliyeomba ushauri ni kwamba miaka 30 si sababu. Ingekuwa miaka 45, 50 au 60 labda.

Mke wangu alianza kuzaa lipokuwa na umri wa miaka 38... Na ninafahamu wengine wenye watoto kwenye umri wa miaka 40 na zaidi. Hivyo, tunapotoa ushauri kwa mtu lazima ndiyo tujue 'theory' inasema nini lakini pia tuone 'what happens in practice'.

Nina family friends wangu, mke alizaliwa 1970. Walifunga ndoa 2003 (at the age of 33) na mtoto wa kwanza alizaliwa 2004 (at the age of 34). Sasa hivi wana watoto 3.
 
Back
Top Bottom