Naombwa ndoa kwa nguvu

Mshikaji miaka ya kubambikiwa mimba zana zilikuwa ishu, waambie wajaribu sasa kama hawajajiweka kwenye nafasi mbaya katika jamii kwa kukwepa virusi na kuangukia mimba, Tehe tehe tehe teheee!!!!!!!
 
...mkuu, kiumbe mwanamke hata afike 50's bado anakunjika, inategemeana na ulimi wako tu unavyouzungusha!

hio ndi momentarily issues nazungumzia, mpe ulimi alegee... Muudhi akumbukia tangu enzi za kina bibi titi, sheHU shagari na chifu shangali... Kalaga baho

WAZEE WAGUMU KUISHI NAO...KUNA LOVE NA LUST MTOFAUTISHE... MMOJA ANATAKA MWENZA KWA MAPENZI NA MWINGINE ANATAKA MWEZA KWASABABU MILEAGE IMERUKA FENCE
 
hio ndi momentarily issues nazungumzia, mpe ulimi alegee... Muudhi akumbukia tangu enzi za kina bibi titi, sheHU shagari na chifu shangali... Kalaga baho

WAZEE WAGUMU KUISHI NAO...KUNA LOVE NA LUST MTOFAUTISHE... MMOJA ANATAKA MWENZA KWA MAPENZI NA MWINGINE ANATAKA MWEZA KWASABABU MILEAGE IMERUKA FENCE

MTM,
age is nothing but just a number.Isitoshe 50 is now the new 30.Sasa 30 sijui itakuwa the new 10?Bado kabisa na aliyesema hawana mapenzi wakifikia 30 nani???Msimtishe mwenzenu!
 
Last edited:
Wanajamii,

naombeni mawazo yenu kidogo...!

Nina demu tumefahamiana kama miezi mitatu hivi na huwa hatuonani mara kwa mara. Na kweli bado hatujafahamiana vizuri kabisa, ikiwa ni pamoja na kwamba bado hata "hatujaonja tunda" hata siku moja.

Hivi siku za karibuni ameanza kuniletea habari kwamba anataka kuolewa na kweli ameshikilia msimamo sana kwani kila ninapokutana nae habari ndio hio, anasema anataka kuolewa, anataka kuolewa.

Sasa mimi nashindwa kuelewa je? kuna usalama hapa au vipi? Kuna siku nilijaribu kumuuliza past story yake akaniambia asingependa kuizungumzia, laini pia simfahamu kwa undani kabisa na kila nikijaribu kumuuliza huwa ananijibu juu juu halafu mada inarudi pale pale, anataka kuolewa eti kwa sababu umri wake umeenda sana sasa manake kashatia kibindoni miaka 30 anaelekea mwaka wa 31 sasa.

Pia mimi binafsi ninawasiwasi na kabila analotoka manake ni kuleee kwa "akina Ishomire"

Wajemeni kuna usalama kweli
Katika hali hiyo mwambie mnahitaji kufahamiana vizuri ili hapo baadaye hatua nyingine zifuate;kipindi hicho mlichonacho katika mahusiano ni kidogo sana kufahamiana kiundani.Inabidi angalau iwe mwaka mmoja au zaidi ili uweze kupata file lake na kujua status ya hilo file lake katika jamii.
 
MTM,
ag.Isitoshe 50 is now the new 30.Sasa 30 sijui itakuwa the new 10?Bado kabisa na aliyesema hawana mapenzi wakifikia 30 nani???Msimtishe mwenzenu!

Thanks but no thanks.... age has everything to do with everything and is not just as is nothing but just a number; it has the context and and carry a symbol of a person plus other blah.. blahh; halafu mwenzako mbu anasema age comes with maturity... sasa mnanichanganya

Ya nini kupasha kiporo wakati menu swafi zipo? Why settle for less?

SWALI: NANI KATI YENU KAUZA NDIZI? ASUBUHI SH. MIA, MCHANA 70, JIONI 30, USIKU TUNAWAPA BURE AU KESHO WATAKULA WANYAMA
 
To cut the long story short Kaka jiulize kama hako kamuda kafupi ulikokaa naye unamwonaje? Anakupa amani ya moyo, do you feel like you love her? If so basi mwambie tu mimi ninakupenda na ningependa tuishi wote kama muda utaruhusu ila tu sitarajii kucommit hivi karibuni so kama unaye ambaye yu tayari kukuoa basi nenda with all my blessings ila kama bado na upo tayari kunivumilia hadi hapo nitakapokuwa sawa ntashukuru.

Ila kama wewe mwenyewe moyo wako haujisikii na wala mshipa wa kidole haukuchezi basi mwambie ukweli kuwa hufikirii kuoa hivi karibuni. Period

Kwa sababu kama ni kicheche utamjua tu katika kipindi atakachokubali kukuvumilia kwani na wewe utaichukua hiyo fursa kumsoma vizuri.
 
Unihiataji kupewa muda gani ukiwa katika relationship ili uweze kamua kuoa au kuacha??? Wanaume wengine wanasingizia kuwa wanahitaji muda, kama unahitaji muda na usubiri huoo muda utimie ndipo na masuala ya kuonjana yaanze. Eti nahitaji muda wa kufikiria. Mbona hauhitaji muda wa kusubiri kuonja, wengine mkikutana siku hiyo anataka kuonja!!!! Kwani umesikia hiyo ni sukari au asali, au chumvi??? Tuache unafiki. Kama umempenda mtu na umpende kama alivyo siyo kusingizia muda hapa. Je na wewe ukiambiwa kuwa binti anataka muda wa kuamua basi unaanza kutuhumu kuwa mara oh una bwana mara vile. Ya nini yote hayo?? Ningekuwa binti nisingekubali kabisa kuonjwa na huku mtu hajanipa msimamao wake. Ukinionja tu jua ni lazima unioe. Kama mchezo ni kuonja na kuhitaji muda wa kuamua je ni wangapi watawaonja hao mabinti?? Na kama binti alikuwa anapata watu wa kumuonja tu na hawamuowi, je utasema binti kama huyo alikuwa malaya?? Nafikiri malaya ni walw ambao wanajiuza? Binti ambaye anaachwa na bwana na ukizingatia kuwa siku hizi kumegana ni kama kawa kabla ya ndoa, basi huwezi kumwita binti kama huyo ni malaya. Basi na wewe ni malaya maana wanaume tunamega sana kabla ya kuoa, hiyo haipingiki. Halafu unataka past history ya binti, na yako je? Acheni ubabe jameni.
 
Binti ambaye anaachwa na bwana na ukizingatia kuwa siku hizi kumegana ni kama kawa kabla ya ndoa, basi huwezi kumwita binti kama huyo ni malaya. Basi na wewe ni malaya maana wanaume tunamega sana kabla ya kuoa, hiyo haipingiki. Halafu unataka past history ya binti, na yako je? Acheni ubabe jameni.[/QUOTE]

Maane,
Hii ndiyo dilema wanawake wanakutana nayo mara nyingi.
Mtu ni boyfriend tu, hajaonyesha nia yoyote lakini anataka kuendelea hadi hukoooooo! Akionja akakuta ladha siyo yenyewe anayoitaka? Ndo unabwagwa hapo.MAKUBWA!
 
hio ndi momentarily issues nazungumzia, mpe ulimi alegee... Muudhi akumbukia tangu enzi za kina bibi titi, sheHU shagari na chifu shangali... Kalaga baho

WAZEE WAGUMU KUISHI NAO
...KUNA LOVE NA LUST MTOFAUTISHE... MMOJA ANATAKA MWENZA KWA MAPENZI NA MWINGINE ANATAKA MWEZA KWASABABU MILEAGE IMERUKA FENCE

...ni sawa mkuu, lakini sidhani kama mwanamke akishagonga 30 yrs tayari ni haki kumhukumu bi-kizee!

BTW kina mama wengi huanza na Love kufuatiwa na lust...kinyume na kina baba wengi ambao lust hutangulia kisha love ikafuatia.

...ndio maana wazee wetu miaka hiyo walikwenda chumbia binti fulani bila hata (kina mama) kuwa na faint idea aliyekuja toa posa, na ndoa zikadumu mpaka wakazikana.
 
...mkuu, kiumbe mwanamke hata afike 50's bado anakunjika, inategemeana na ulimi wako tu unavyouzungusha!

Haya kafyonze wa 40 basi maana wanasema ukubwa dawa... sio kila msemo una-apply kote

...MTM, kuuzungusha ulimi ni kwa maana ya maneno laini, maneno yaliyo na busara, na hekima. Hujasikia heri kuchapwa na fimbo kuliko kuchapwa na ulimi?

in a nutshell, ili uweze kuimudu ndoa yako, zingatia mambo matatu;

Communication -Communication -Communication​

Listen!, (and try to understand!)

...think!, (before you talk)

talk! (effectively)​
 
...MTM, kuuzungusha ulimi ni kwa maana ya maneno laini, maneno yaliyo na busara, na hekima. Hujasikia heri kuchapwa na fimbo kuliko kuchapwa na ulimi?

in a nutshell, ili uweze kuimudu ndoa yako, zingatia mambo matatu;

Communication -Communication -Communication​

Listen!, (and try to understand!)

...think!, (before you talk)

talk! (effectively)​

Thanks Mbu kwa usia ulionipa na najua maoni yangu kwenye yamekwaza wengi... ILA UELEWE UNAYOSEMA MENGI NI THEORY HUJAGUSA PRACTICAL EXPERIENCE; NALINGANISHA MWANAMAMA WA 30 NA JIBABA LA 40 HALIJAOA

CHUNGUZA UONE, MAKAZINI, KWENYE COMMUNITY NA HATA UCHUMBA WA WATU WALIOVUKA "BORDER" YA UMRI KAAAZI KWELI KWELI

NAHISI NAUMIZA EMOTIONS LAKINI UKWELI LAZIMA UPEWE HESHIMA YAKE
 
Maane,
Hii ndiyo dilema wanawake wanakutana nayo mara nyingi.
Mtu ni boyfriend tu, hajaonyesha nia yoyote lakini anataka kuendelea hadi hukoooooo! Akionja akakuta ladha siyo yenyewe anayoitaka? Ndo unabwagwa hapo.MAKUBWA!
Wos bado upo upo?
 
This is true story!

Nilimdate mdada fulani kama miezi 3 hivi pia...baada ya kukutana naye huku ughaibuni. Sikuwahi fikiria aje kuwa mwenza wangu nilichukulia tunasaidiana kuondoa ukame. kadri zilivyokwenda alijiweka karibu sana na mimi...alianza kunambia bwana unampango gani na mimi...nilimjibu tunahitaji muda kujuana. Nilianza ulizia profile yake, ndipo nilipogundua aliisha haribu sana huko nyuma na hana sifa nzuri kwenye jamii...nilienda bongo na kuulizia habari zake zaidi...duuu kwa kweli ni balaa...niliporudi nilimwambia bwana lets part for sometime I need concetration na mambo yangu...alikuwa hanielewi, alifata marafiki zangu na hata ndugu zangu wanisaidie nimwelewe...niliweka msimamo na kubadili hata line ya simu...alikuwa analazimisha ahamie kwangu...of latest nikamwambia I am in a serious relation aniache. Akanitumia ujumbe kuwa anaolewa nikamwambia all the best nitakuchangia...bwana wee amenibadilikia eti nimempotezea muda, nikamwambia I never mentioned kuowa bwana...amekuwa adui yangu balaaa ananipakazia ile mbaya...nadhani atanitoa kule zeuchungu maana anapicha zangu....jamani kuolewa ni dili sana wadada?

masa


Zeuchangu ndio wapi huko jamani au ndio kuendeana kwa waganga na kupotezeana maisha ??hebu nieleze huko zeuchangu ndio wapi na kufanywa shughuli gani kwa ujumla haya mambo ya kisasa yanatisha.
 
Mhafidhina!
Wewe una miaka mingapi?Na unataka/umepanga kuoa ukiwa na miaka mingapi? Je kwenye huo uhusiano na huyo dada wewe ulikuwa au unachukulia kuwa ni wa kawaida yaani hujafikiria serious comitment kama ndoa?
Kwa kuona huyo dada amekung'ang'ania umuoe kama haupo tayari mwambie ukweli akiumia ataelewa mwisho wa siku!..
Ni kweli pia wanawake wengi tukifika 30s kuendelea tunakuwa desperate na kuona hatutaolewa labda tumezeeka,japokuwa kuna wengine wana bahati kuolewa hata wakiwa na miaka 35 (naongelea wadada watanzania).
 
Jamani inawezekana yuko clean huyo dada ila tu anataka kuujua msimamo wako kwake kwa sababu huwa ni kawaida (si umesema ameshatimiza 30?) Unategemea nini?
Jamani mie naona miaka 30 ya huyo dada sio nongwa jamani. Mbona 30 bado mdogo tu. watu wanaolewa na 40 na life inakuwa bomba tu. Cha msingi mapendo tu.
 
Kuoa au kuolewa ni serious relationship inayohitaji muda. Wale tulio kwenye ndoa za miaka kumi na kuendelea tunajua jinsi ambavyo ndoa inaweza kuwa balaa na ikawa ngumu vile vile kuivunja.

Hivyo kuingia katika ndoa halitakiwi kuwa suala la procedure tu. Kuwa sasa umri wangu ni wa kuolewa hivyo nikipata mwanaume yeyote nasisitiza ndoa tuu. Balaa gani hili!! Ndoa za namna hii si ndoa. Haya ndo yanasababisha kila siku kuwe na matatizo ndani ya ndoa halafu tunakimbilia kulalamika tu.

Kuingia katika ndoa inahitajika fikra pevu na uangalifu wa hali ya juu. Vinginevyo afadhali kuishi bila kuoa au kuolewa kuliko kukurupuka tuu na kusema nataka ndoa. Tuwe makini, tusijilaumu baadaye. Katika ndoa yoyote huwa kunawakati unafikia na kujiuliza, kwa nini niliingia? Shida kubwa ni haya haya. Kwani ukiishi bila kuolewa maisha hayatawezekana.

A lady above 30 is past her best, let's face it. Unambeba, uwe umejiandaa kubeba zigo. Hiyo ngono unayotamani utapewa miezi michache ya mwanzo, then zitafata stori, nimechoka, kichwa kinauma, nimekasirika, etc. Mwanamke above 30 hastahiri kuolewa hata kama mwanaume ana miaka 50. Huo ndo ukweli wenyewe. Si kwa sababu wanaume ni bora, la hasha. Sababu ni different body chemistry. Ndo maana unaona mabinti wa 18 wanatesa na mibaba ya 60. Human biology haitabadilishwa na mawazo yoyote.

The female chemistry has evolved to support birth. The longer she live the more eggs she loses and consequently body chemistry. Na siku hizi haya madaya ya kuzuia mimba has made it worse. Mwanamke wa miaka 25 anayetumia dawa za kuzuia mimba for the past 5 years, yuko sawa na mwanamke wa miaka 40.

With poor chemistry, forget sex or it will be a boring affair. Without sex marriege is troubled!!
 
Back
Top Bottom