Bryson Mbeula
Member
- Sep 25, 2011
- 46
- 4
if love is the matter,sidhani kama hilo ni tatizo,..so mi nakuwashia green_light kaka!
whhhhhhhhhhhhuuuuuuuuuuupppppppppppsssssssssssssmmh! jamani mapenzi yanaran dunia!
jaribu uone cha moto.kazi nikupe,mshahara nikulipe yaani na mwanangu usarandie,lol,nakutimua fasta fasta.
siku boss wako akijua anaweza mind kichizi na mwisho wa siku ajira ukapoteza na mtoto ukamkosa siku hizi mapenzi ya kweli oveer sidhani kama huyo mtoto atakung'ang'ania kama tuonavyo kwenye movie za kihindi na tamthilia za kifilipino.