the righteous
New Member
- Sep 4, 2008
- 2
- 2
Jamani mimi nina matatizo tena makubwa sana lakini nadhani kupitia jamii nitafanikiwa. Mimi bwana nina UUME mdogo,lakini ninadisa vizuri tatizo nikipizi maramija ninashindwa kurudia hadi baada ya dakika 20 au zaidi na mbaya zaidi ninacukua muda mfupi kupizi, yaani dakika 3 au mbili tu ninapizi. Hali hii imeniweka katika wakati mgumu kiasi mpenzi wangu analalamika kila siku. Jamani nishaurini nifanyeje? Nasikia kuna vifaa vya kuongeza uume lakini sina uhakika,na kuna dawa za kusaidia kusimamisha uume nk. Naombeni yeyote mwenye taarifa za kutosha juu ya matatizo haya anisaidie