lovelove
Member
- Aug 22, 2011
- 21
- 3
nina mtoto mmoja, baba'ke naishi nae bt we are not married. Tatizo ana tabia ya uongo sana yaan ameni cheat mara kibao <br>
hadi nimepoteza uaminifu kwake. my ex boyfriend anataka tufunge ndoa and i stiil love him coz tuliachana kwa kupotezana katika <br>
kutafuta maisha. so wana jf nibaki na yupi kati yao?
hadi nimepoteza uaminifu kwake. my ex boyfriend anataka tufunge ndoa and i stiil love him coz tuliachana kwa kupotezana katika <br>
kutafuta maisha. so wana jf nibaki na yupi kati yao?