hivi ukweli ni upi? ni lazima mwanamke akiwa kitandani na mwenzi wake kutikisika(kukata mauno?) au si lazima? naombeni wanaJF minjuze make sielewi
Kwa kweli mi na mauno wakati wa mambo, no, no, nooo...
Kama anajua mauno namuwekea mziki acheze...
nahisi kukata mauno ni utamaduni wa kitanzania ukiwa na mwanaume wa mataifa mengine ukikata kiuno anakushangaa,.....so it depends uko na nani....ila mie huwa sikati , uwezo wa kuzungusha wakati umeegemewa na jibaba la miraba minne sijui mnautoa wapi?????wanachofata ni utelezi na joto hayo mengine ni madoido tu sidhani km yanawapa raha......
sio lazima.....sio kila mwanaume anapend mauno....
sometimes unakutana na mdada...mpaka unamwambia.....taratibu aisee....lol
mauno mpaka kwenye dari....lol
hivi ukweli ni upi? ni lazima mwanamke akiwa kitandani na mwenzi wake kutikisika(kukata mauno?) au si lazima? naombeni wanaJF minjuze make sielewi
Nmh sipati picha; kumbe zile story za kusoma gazeti na kukumbusha kuacha pesa ya maziwa ni za kweli eeh!
Sasa wewe unaenjoy vipi; mwanamke kushughulika sio kushughulikiwa tu!
nishakuambia wanachokifata kwako,kukizungusha kiuno ni insignificant...unajichosha bure,angalia porn ushaona mtu anazungusha mauno weye?au wale hawapati raha???......shaurilo.