Mdau Mkuu
JF-Expert Member
- Dec 12, 2009
- 233
- 45
Heshima nyingi nawapeni Wadau wangu,nashukuru maana ndani ya Jamvi hili nimepata kuelimika kwa mengi, na napenda kuwapa hongera kwa kuendelea kulisongesha gurudumu, kwa leo napenda wadau mnipe ushauri kwa Dadangu ambaye tokea mwaka 1998 hajawahi kuumwa wala ku2mia dawa ya malaria, ila tokea kipindi hicho huwa anakunywa dawa ya mwarobaini(anachemsha majani afu anakunywa lita 1 kila mwezi) na kweli haumwi kabisa,ila me ningependa kujua hakuna -ve effects, kwa ku2mia kinga hii, na kama ipo ni ipi maana hajazaa huyu dadangu isijekuua kizazi!
Afu kama kunakinga ingine mbadala ya Malaria naomba mnijulishe wadau wangu, ntashukuru sana wadau kwa ushauri wenu!
Afu kama kunakinga ingine mbadala ya Malaria naomba mnijulishe wadau wangu, ntashukuru sana wadau kwa ushauri wenu!