@nyani roho inaniuma nikimuona yuko anafuraha na m2 mwingne,ninachotamani ni kumuacha bt naogopa kuitesa nafsi yangu,ila cwez kuendelea kuwa mtumwa wa mapenz na kunyanyaswa kifikra ni mambo gani nifanye ili atoke kabisa akilini na nisimpende tena?
ook jamani mtu yeyote anaweza kunishauri siyo mbainti peke yake how can i dump this woman
<br />na usiseme kumdump, kwani amekuwa taka yeye? umeanza dhambi ya kumzini nduguyo, na unajua kabisa kuwa hutamwoa. Achana naye mapema, nahisi shemejio hajajua kama unamzini mwanaye, so ondoka kimya kimya na umsahau
<br />Tuondolee uchuro wako. Huoni aibu kula watoto wa ndugu zako. Laana yako itakuweka pabaya. Sorry for you.
<br /><br />
<br /><br />
tatizo hujui kupenda ungejua hata usingeona laana bt nitajitahd niachane nae, mi mwenyewe cpend bt nafsi ndo imemchagua