Kiba
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 459
- 62
Ni mara yangu ya kwanza kuomba ushauri kabla ya kuomba ushauri pia kwa jamii inayonizunguka.
Ninachomba ushauri ni kuhusu jinsi nitakavyoweza kufikia ndoto yangu ya kuama kutoka katika ualimu na kuamia siasa sana sana udiwani kutokana jinsi nilivyoipata elimu na ugumu wa elimu ulivyo katika eneo nililozalia.
Kutokana na ugumu huu mimi baada ya kupelekwa katika mkoa wa Mwanza nilifika na punde kuamia private lengo ili nirudi katika kata niliyozaliwa as a new hope hadi sasa nawaza ni jinsi gani nitaamua kutoa uamuzi wangu infront of the mass muda huu muafaka kabla ili nianze kujipanga mapema ila nashindwa kujua je nini ushauri wa Watanzania wote juu yangu hila kwakua naamini MUNGU yu juu ya maisha yangu niliamua kuanza na udiwani baada ya hapo MUNGU atapanga.
Hivyo basi naomba wanda jamii ushauri wenu wa njia yeyote maana naamini mawazo ninayohitaji ni ya watanzania wote asanteni sana I waiting for positive response please.
Ninachomba ushauri ni kuhusu jinsi nitakavyoweza kufikia ndoto yangu ya kuama kutoka katika ualimu na kuamia siasa sana sana udiwani kutokana jinsi nilivyoipata elimu na ugumu wa elimu ulivyo katika eneo nililozalia.
Kutokana na ugumu huu mimi baada ya kupelekwa katika mkoa wa Mwanza nilifika na punde kuamia private lengo ili nirudi katika kata niliyozaliwa as a new hope hadi sasa nawaza ni jinsi gani nitaamua kutoa uamuzi wangu infront of the mass muda huu muafaka kabla ili nianze kujipanga mapema ila nashindwa kujua je nini ushauri wa Watanzania wote juu yangu hila kwakua naamini MUNGU yu juu ya maisha yangu niliamua kuanza na udiwani baada ya hapo MUNGU atapanga.
Hivyo basi naomba wanda jamii ushauri wenu wa njia yeyote maana naamini mawazo ninayohitaji ni ya watanzania wote asanteni sana I waiting for positive response please.