Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Kuna binti mmoja niliwahi kumtongoza akanikataa,basi me nikabembeleza sana ila akawa amebaki na msimamo wake,kwa kweli huyu binti nilitokea kumpenda sana na ikafikia hadi hatua nikawa namhonga nikitegemea labda atabadili msimamo wake,cku aliyonivunja moyo ni cku ambayo aliniambia kwamba hataki kuwa mpenzi wangu kwa sababu sina mvuto so kwa kifupi simvutii{fikiria mtu unavojickia ukiambiwa hayo maneno weather ni kweli huna mvuto or not}kwa kweli nilijickia vibaya sana na ikumbukwe kwamba huyu binti nilikua namsaidia mambo mbalimbali ya kimaisha,basi me nikaona kama amenidharau to the maximum,nikakata misaada yote ambayo nilikua naitoa kwake coz nilijua hata nimpe nini ni ngumu kumpata,nikawa nawasliana nae mara moja moja ili kumfanya asigundue kwamba niliudhka na yale maneno yake,sasa imèfika jana ucku akanitumia sms akinitakia usiku mwema,mie nikamjibu to ''nawe pia gnt''baadae akanipigia simu akawa ananilalamikia kwamba cku hzi nina roho mbaya na eti namchukia sana,nikamuulza nan alimwambia kuwa namchukia akawa anapotezea,baadae ktka maongez cmu yangu ikakata charge so nikabadilisha cmu haraka haraka ili nimskilze shida yake,but nikakuta simu yake iko busy zaidi ya mara 2,me nkaamua kulala,leo tena kanitumia txt akanambia iwe mara ya mwisho mim kuwasliana nae,nikamjbu kwa nin akanambia tena mie namchukia na simpendi,nikamjbu nikamwambia simchukii na ni kweli simpend cos she is not my gal,kumwambia ivo akaja juu kwamba kumbe mda wote huo amepoteza kwangu me namchukulia poa tu,iweje leo nimwambie sio gal wangu!sijamjbu chochote mpaka saa hzi,sasa wakuu nisaidieni kuisoma chemistry ya huyu binti,yeye aliisha niambia mimi simvutii,iweje leo tena aniambie hayo maneno yake?